Mimi sioni kwamba alikosea kusaini, hajaridhishwa ndiyo maana amekuja kupasua jibu.
Wapo humu wanapitia huu uzi wataona walivyoumbuka, majizi ni majizi tu.
Baada ya uchaguzi wa jana majira ya saa kumu na moja kukamilika kwa uchaguzi ngazi ya Wilaya Mwanga na kupatikanika viongozi wapya.
Jeshi la polisi wilayani humo kwa kutumiwa na maccm kwa hofu ya idadi ya wajumbe toka kata mbalimbali waliyohudhiria Mkutano mkuu wa wilaya, Polisi walienda...
Ukiona mtu anapoteza muda kuongelea maisha ya mtu basi huenda mtu huyo ni mganganjaa ama mtu huyo ni mch.a.wi. mnatamani kuishi maisha ya jiyce ila hamtakaa muishi milele mtabaki hivyo hivyo na wivu wenu. Mtoto ni mzuri ile mbaya huku nyie mkiwa mmepauka kama vinyango.
Nashukuru leo nimeweza kufuatilia mjadala huu uliyoanzishwa jana na Comred Kileo. Hakika kijana kakomaa kijana kaiva maana sijaona sehemu yeyote ile ya Bandiko hili lilipo jibiwa na viherehere wa Lumumba zaidi ya Matusi na kejeli zisizokuwa na msingi wowote kwenye bandiko hili.
Hongera kileo...
hahahahahaha.... ccm na vichekesho vyao!!!! Yaani muuza nanihii pale Serena Hotel na sasa amepigwa marufuku kukanyaga ule mlango wa serena, oooh huyo anagawa hiyo nyapsi hapa mjini na imekuwa sugu kwasasa. CCM ni zoa zoa.
Unataka kumjua kamanda kilewo? Ni katibu wa mkoa wa kinondoni (chadema) na ni katibu wa makatibu kanda maalum ya Dar es salaam, vile vile ni kamanda wa nchi aliyepewa kesi ya ugaidi na maccm jaji akaipiga chini, ila ukitaka kumjua zaidi muulize bwana
Mmoja aitwaye pro.Maghembe mbunge wa maccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.