Recent content by kilenge

  1. K

    Lwandamina ni zaidi ya kocha

    GL, huyu jamaa ni bonge la kocha sema kaingia yanga kipindi kigumu sana hasa kifedha amejitahidi kuitengeneza team ya kutafuta matokeo kwanza, Simba wako vzr sana ila wanamapungufu sana kwenye wachezaji wambele ambao ni mbadala wa okwi na Bocko na kama wataendelea kukosekana zaidi ya mechi tano...
  2. K

    Mheshimiwa hapa alielewa somo au ...?

    Mkuu alienda kujificha na siyo kuimba ww,maana aliguswa vibaya sna
  3. K

    Wakuu wa Vyuo Tanzania, wakatazeni wanafunzi mikutano ya siasa

    Wakati unaandika huu utumbo umejaribu kuvaa viatu vya kuwa ndg wa marehemu?au umemsikiliza mkuu wa chuo alichokuwa anasoma au umekurupuka tu
  4. K

    Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    Kifo cha Jana siyo bahati mbaya hata kidogo ila ni uzembe wa jeshi la polisi kutokutima uweledi wao ktk kazi hakukuwa na ulazima wa kutumia siraha za moto kuwatawanya waandamaji kwani hakukuwa na viashilia vya fujo hata kidogo pili kama Msimamizi wa uchaguzi angeteo barua na viapo kwa vyama vya...
  5. K

    Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    Kama kamanda wapolice amesibitisha kuwa police wake ndo wamehusika ktk tukio la jana sasa siasa hii inatoka wapi?pili matukio uliyoyataja hapo juu jeshi la polis limewayi kutoa taarifa kama chadema wamehusika kutengeneza au kuhusika kwa namna moja au nyingine?insure ya Lisu hadi Leo jeshi la...
  6. K

    Ipi Adhabu sahihi kipa anapodakia nje ya 18

    Umefafanuwa vzr sana mkuu hongera kwa hilo.
Back
Top Bottom