Recent content by kilapalio

  1. K

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Hatuchangiiii kwasababu ya ufisadi uliokithirii serikalini ufisadi wa kunukaa tunajua serikali ina uwezo wa kuboreshaa mifumo ya elimu lakini wameendekeza ubinafsii tuu
  2. K

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Na kufundishana tabia chafu walimu wenyewe hawana maadili unategemeaaa Mtoto wako hatatokaje ukoo
  3. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Jamani ata usijisikie vibaya kuna mmama mmoja wa kichaggaa amejenga ghorofaa Mbezi kwa kuuza samaki Botswana na sehemu nyingine kadhaa pia kuna mjasiriamali katajirika Kenya kwa kufanya Fish Farming nakupa hongera kadha bidii!
  4. K

    Blogger Mtanzania adaiwa kupelekea mtu kujiua kwa kumtukana kupitia blog yake

    So inshort Mange is living her Dream And happy? Ebu weka conclusion basi ya mafanikio Yake? LA Kuna nini Anachofanya kinammpa umaarufu? Au labda how successful is she so far kama wakina Kiki au mwamvita??? Njoo Na facts na evidence
  5. K

    Blogger Mtanzania adaiwa kupelekea mtu kujiua kwa kumtukana kupitia blog yake

    This Is just gossip And by the Way gossip is Part of human nature kwanza Mwanaume unatafuta nini kwenye choo Cha kike kashangilie mpira au unataka na wewe tukuvalishe deraa
  6. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Yaani Mange angekuwa anaingiza pesa kwa kuchambaa watu kama wakina Ryan seacrest au Wendy Williams dada angekuwa na maghorofa ya haja sio Siri ila ni Frustrations zinamsumbua msameheni bure
  7. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Sio kweli walimchezeaa akili tu mama ubaya
  8. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Sielewi Hapa unamuongelea nani ? Sioni kama kuna msomi Kati ya Hao wawili of anything They are All ODDS old down Dirty shame so uncivililized!!! Am glad wanawake wanaojieshimu wamekaa nao mbali but i still insist They should be an end to Cyber bullying
  9. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Ila Kweli yaani hayupoo kama mtu aliyesoma na Hapo kasoma imagine angekuwa Hana Shule Au ndio kiki ya biashara mmmmh this Social Networking ni balaa
  10. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Aaaah ni vitu vya kawaida by the Way mie sibebi mabox sorry For that ila ni vitu vya kawaida kuwa na viwanja sio ishu i just Dont know What kama wakina Mange if she was happy with all that she Never needed to Bully anyone And by the Way Kuna wanawake wengi wana majumba ya nguvu wamejenga kwa...
  11. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Na aendelee kuchambaa kama zinamongezea Hela ili ajenge gorofa kama la mwavitaa Basi Kheri Yake na Sio kila siku kuonyesha nyumba za urithi next Time atuonyeshee jeuri ya pesa zake mwenyewe au Bado anazisaka kama wengine sie! Maisha ya ulaya tunayajua ni magumu Sana wajanja wanarudii kuwekezaa...
  12. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Kama wewe unavyolipwa na mmpare
  13. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Mie kimenisikitisha ila picha ya Mtoto Wa Mange wakaache kale kabinti She does not deserve this she Is too Young to be Cyber bullied
  14. K

    Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

    Le millionaires' daughter le Trust fund baby
Back
Top Bottom