Recent content by kilanga73

  1. K

    Katibu wa Mbunge Selasini na Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Rombo ajiunga na CCM

    Amejitambua ndio maana ile pesa mliomtengea lazma aikubali. Subiri uchaguz wa hilo muone km mtaambulia kitu. Ukiona chama kinatembea na FISI ujue Sera hawana tena. Vijana hawawez kukataa pesa. Kula pesa ccm piga kura UKAWA.
  2. K

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali apigwe "stop" kuingia Bungeni

    Kuna watu wanaongea pumba humu. Hasa hao wanaotumia kiingereza. Mfano Jana wabunge wakiwa kwenye semina alinyanyuka kwa hasira na kuongea pumba. Mpaka ilibidi Mbatia asimame na kumuonya kuacha kuongea vitisho kwa wabunge. Huyu mwanasheria ni kihio. Na ole wake Jana km Tundu lisu angekuwepo...
  3. K

    Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

    Sanaa Tanzania hazitaisha.
  4. K

    Katibu wa Mbunge Selasini na Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Rombo ajiunga na CCM

    Mimi nipo MOSHI huyu jamaa walimutafuta zaidi ya wiki mbili ili ionekane chadema viongoz MOSHI hawaikubali. Jamaa alitajiwa pesa ndefu ambayo hata km ungekuwa ni wewe usingekataa. Wakampa na kadi feki ili awape vijana mtaani ili waonekane wamekihama chama. Uliofanyika in usanii.
  5. K

    Zitto aichokoza CHADEMA na kuwapa somo wanachama wake

    Zito ni msanii tena sana. Km kweli Act ni wazalendo atuambie gharama za ukumbi walzotumia na atuambie gharama za kuonyesha live masaa 3 ITV na Azam TV. Lasivyo atakuwa msanii aliyetumwa na ccm kuja kuua ukawa.
  6. K

    Julius Mtatiro awapongeza ACT Wazalendo

    Zito pia ndio mmiliki wa hicho chama. Maana ukisoma katiba hakuna wakuhoji mamalaka ya mwenye chama zzk. Ukiona tu hivyo vitu unagundua zzk ni km mfalme Act.
  7. K

    Julius Mtatiro awapongeza ACT Wazalendo

    Act ni chama cha kigoma. Ndiomaana juz wauza matunda kwenye vitoroli na urembo mitaani walikuwa adimu. Waha noma. Ni wabishi halafu wanapenda udini.
  8. K

    Julius Mtatiro awapongeza ACT Wazalendo

    Km cuf wanawakubali mbona lipumba mwenyekiti wa cuf amegoma kuja kwenye mkutano wenu?.
Back
Top Bottom