Recent content by Kilamunu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kutokulala Nyumbani

    Ajabu sana
  2. K

    JamiiForums Tanzania Barua ya Lissu kwenda kwa Dkt. William Leo

    Wasiwasi wangu ni huko kwenye L panavowekwa R. Akiri badala ya Akili n.k.Ni Lissu kweli huyu kaandika?
  3. K

    JamiiForums Tanzania CRDB mmezidi na mnakatisha tamaa

    Sahihi kabisa.Yani baada ya Mzee Kimei kuondoka matatizo yakaanza.
  4. K

    JamiiForums Tanzania CRDB mmezidi na mnakatisha tamaa

    Mimi ni mtumiaji wa Bank ya crdb kwa zaidi ya kipindi Cha miaka kumi na nne sasa.Lakini kwa mwenendo huu wa crdb bank hakika si bank rafiki tena kwa wateja. Kwanza kila ukifika katika AMT zao unakuta wateja wamejazana na wote wanalalamikia huduma mbaya za kibank ndani ya bank yenyewe na hata...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Katika umri wako ni kitu gani cha maana chenye gharama kubwa unachomiliki?

    ...... Na ...... Na...... Na......
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mtoto wa miaka 13 alierudishwa Tanzania kutoka South Africa, nina maswali kadhaa

    Nchi imefanya juhudi mapaka baba kapatikana,DNA imefanyika kwa gharama ya Nchi na mtoto karudishwa Tanzania ....mkuu hayo mengine unafukunyua ya nini?
  7. K

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wengi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wanailetea picha mbovu Tanzania kwa kusoka weledi wa kazi

    Sahihi kabisa.Sio kila mtu ni wakumpeleka private na mzigo wake.
  8. K

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wengi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wanailetea picha mbovu Tanzania kwa kusoka weledi wa kazi

    TAA(Serikali) iwalipe wafanyakazi wake vizuri hayo yote yatakwisha. Wanakusanya mapato ya kutosha lakini serikali inawabania na huku ni Mamlaka kamili.Wawaachie Passenger Service Charge yao wajiendeshe....kisha waone aibu hizo kama zitatokea.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Kaka Bora umwambie.Miaka ya tisini wanafunzi wa sekondari wanavo pishana kila mmoja kwenda shule yake ilikuwa ni ajabu kwa upande wangu.Hapo hata ishu za shule za kata hakuna.S
  10. K

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Kwani Kuna mpare katia mi....MBA akakuacha nini?Mbona unawachukia sana.Yan mpare ajifiche Identity yake?Nenda milimani huko majumba yamejificha migombani.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Kwahiyo umefika Sebuleni kwa ndugu yako waona umemaliza kujua Usangi na Ugwwno?Kwa ujumla hujui kitu.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Kwa Kwa taarifa yako ndio kwanza pamekucha.Barabara kutoka Mwanga mpaka Kilomeni kupandishwa hadhi na kuwa ya TANROAD wala haikufanyika Msuya akiwa ana Nguvu tena za kisiasa.Zimefanyika kipindi Cha Magufuli.Kwahiyo kusema alikuwa anawapendelea huyo Msuya si kweli.Lile Jimbo litabaki kuwa...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Kaka hivi unaota ama?Wamezubaa?Kwenye nyumba 10 kati yake 8 zina maji.Umeme ndo kabisaa.Unajua kitu kinaitwa Msaragambo?Kule tokea enzi hizo hawangoji wanasiasa au serikali iwafanyie maendeleo ....wao wanafanya serikali itawakuta mbelembele.Kwa uongo ulio uongea hapa...yani wewe ndio mpwani...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Totally,wrong infor.Kumbe huku mtu anaweza kusema uongo kwa kujiamini kabisa.
Back
Top Bottom