Kusema kweli sio kazi ngumu ni rahisi sana na ziko yofauti na za nyumba, wala sio kazi ngumu kiivyo hadi uchukue wachina kama wanataka wanitafute niwape huo utaalam tanesco
Nakubaliana na mleta mada sisi bado ni Africans na tuna tamaduni zetu, hatuna budi kuendeleza tamaduni zetu na huo uzungu wenu unawasumbua hata hamjuhi mnalolisema. Na majanga mengi yanatokana na kupuuza tamaduni zetu. Hata ukiangalia vitabu vya dini bado utagudua na huko kuna matambiko
Chakushangaza zaidi ni hapo Kikwete alipoamua kuidhalilisha shilingi na kuiita pesa ya MADAFU! Kusema ukweli kama kiongozi mkubwa wa nchi hakupaswa kutamka neno la kudhalilisha uchumi wa taifa lake kana kwamba yeye si mtanzania, imeniuma sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.