Recent content by Kilamuluzi

  1. Kilamuluzi

    Warioba: Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuongoza nchi

    Duh siamini kama haya maneno umeyaandika wewe mkuu.
  2. Kilamuluzi

    Bidhaa za kutoka Tanzania zinabaguliwa kwenye soko la Afrika Mashariki

    Hata wao tusikukubari waje kununua bidhaa huku kwetu hususani chakula maana wao hata ardhi ya kulima hawana.
  3. Kilamuluzi

    Wizara ya Madini wamewaleta Wachina waje kujenga Nguzo za zege

    Kusema kweli sio kazi ngumu ni rahisi sana na ziko yofauti na za nyumba, wala sio kazi ngumu kiivyo hadi uchukue wachina kama wanataka wanitafute niwape huo utaalam tanesco
  4. Kilamuluzi

    Wizara ya Madini wamewaleta Wachina waje kujenga Nguzo za zege

    Nguzo za umeme kwa kutumia zege hata Veta wanaweza kutengeneza
  5. Kilamuluzi

    Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

    Nasikia lowasa akiwa Rais na rostam Aziz atakuwa wazili mkuu
  6. Kilamuluzi

    Serikali kupiga marufuku tiba kwa njia ya ramli ni kuvunja Katiba ya nchi

    Nakubaliana na mleta mada sisi bado ni Africans na tuna tamaduni zetu, hatuna budi kuendeleza tamaduni zetu na huo uzungu wenu unawasumbua hata hamjuhi mnalolisema. Na majanga mengi yanatokana na kupuuza tamaduni zetu. Hata ukiangalia vitabu vya dini bado utagudua na huko kuna matambiko
  7. Kilamuluzi

    Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

    Kwa hiyo unataka wewe ndiyo mkewe wa pili?
  8. Kilamuluzi

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta (Januari 06, 2015)

    Hapa Kigali Rwanda tunanunua lita ya petrol na diezel ni 895rwf
  9. Kilamuluzi

    Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

    Moja kwa moja akiachia madaraka ni mahakamani, sasa hivi nahitaji msaada wa kisheria maana hata shilingi ni tunu ya taifa.
  10. Kilamuluzi

    Maoni ya Wadau baada ya Hotuba ya Rais Kikwete kwa 'Wazee wa Dar' kuhusu Sakata la Tegeta Escrow

    Chakushangaza zaidi ni hapo Kikwete alipoamua kuidhalilisha shilingi na kuiita pesa ya MADAFU! Kusema ukweli kama kiongozi mkubwa wa nchi hakupaswa kutamka neno la kudhalilisha uchumi wa taifa lake kana kwamba yeye si mtanzania, imeniuma sana.
  11. Kilamuluzi

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Hapo ndipo inapojidhihirisha kuwa Jk amelamba fedha za escrow hivyo hawezi kufanya chochote. Rais dhaifu na legelege kama anakulaga ulojo.
  12. Kilamuluzi

    Yaliyojiri, Matokeo ya maeneo yaliyorudia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tarehe 21 Disemba, 2014

    Mbona tbc hawatupi matokeo naona wanamtangaza Mohamed Ali
Back
Top Bottom