Recent content by kilambimkwidu

  1. kilambimkwidu

    Je Nani atafuata kuwa mkurugenzi wa TISS?

    Atatokea unguja
  2. kilambimkwidu

    Ukweli umebainika : Ndege za Marekani zilifanya Udanganyifu katika kulipua Vinu vya Nyuklia Iran

    Wakati wa mfungo mnakesha usiku kucha mnakula daku halafu wakati wa vita mnasubiri muamshwe kuambiwa mnashambuliwa, matope kabisa!
  3. kilambimkwidu

    Trump: Marekani imevishambulia vinu vya nyuklia vya Iran

    Iran ilichelewa sana kusoma alama za nyakati. Israel katandika proxies zote za Iran zilizo Palestine, Syrian, Lebanon na Yemen ili kupungiza tishio, then kamuanza Iran mwenyewe kwa kupiga mifumo na miundombinu ya kijeshi na baada ya kumaliza na hiyo Fordow .... sasa wanaingia mtaan kuchinja...
  4. kilambimkwidu

    CHADEMA ya Lissu ipo kwa maslahi ya umma . Haipo kwa ajili ya kuganga njaa. Ndio maana inachukiwa na watawala wa CCM

    Lissu katoa funzo kubwa sana kwa Tanzania na ulimwengu. Na move inavoenda anazidi kumuaibisja Mboe kwamba alikua anapiga deal, hakua mpinzani
  5. kilambimkwidu

    Balozi wa Marekani amtembelea Dr. Kitima; akemea ukandamizaji

    No reforms, no election. Hatutayamaza
  6. kilambimkwidu

    Kelele ya No Reform no Election inatakiwa iwe kubwa zaidi, tuanze kuprint vipande vidogovidogo vya karatasi na kuvisambaza nchi nzima

    Bila madiliko hakuna uchaguzi. CCM ijichague wenyewe, sisi wananchi hatutashiriki ushetani wa kuweka madarakani watu wasiokuwa chaguo la wananchi. No reforms, no election
  7. kilambimkwidu

    PreGE2025 John Mrema: CHADEMA 'imeuzwa' ndiyo maana tumeondoka

    Mrema akisikia Tundu Lissu breki zinaluzi
Back
Top Bottom