Iran ilichelewa sana kusoma alama za nyakati.
Israel katandika proxies zote za Iran zilizo Palestine, Syrian, Lebanon na Yemen ili kupungiza tishio, then kamuanza Iran mwenyewe kwa kupiga mifumo na miundombinu ya kijeshi na baada ya kumaliza na hiyo Fordow .... sasa wanaingia mtaan kuchinja...
Bila madiliko hakuna uchaguzi. CCM ijichague wenyewe, sisi wananchi hatutashiriki ushetani wa kuweka madarakani watu wasiokuwa chaguo la wananchi.
No reforms, no election
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.