Nashukuru kwa kumkumbusha Mkurugenzi Dr Mashimba ni wazi anaonyesha kumuendekeza kishegwe kwenye ujinga wake lakini tunamsisitiza Ili kulinda heshima yake akae nae mbali vinginevyo tutaweka wazi hapa labda kwasababu alimtengenezea connection njia ya kuelekea Iringa kule.
Rais Samia Suluhu Hassan nianze kwa kukupongeza pia kukupa pole na majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa, tunamshukuri Mungu kwa kutupa rais ambaye amefanikiwa kuliunganisha Taifa ndani ya kipindi kifupi Mungu akubaliki mama yetu,.
Neno hali alijawahi kuachwa kwenye kinywa chako, ukiamini haki...
Rais Samia Suluhu Hassan nianze kwa kukupongeza pia kukupa pole na majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa.
Tunamshukuri Mungu kwa kutupa Rais ambaye amefanikiwa kuliunganisha Taifa ndani ya kipindi kifupi Mungu akubariki mama yetu. Neno haki halijawahi kuachwa kwenye kinywa chako, ukiamini haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.