Ubaguzi wa aina zote,Mwalimu Nyerere,alisha ziondoa.Mwalimu Nyerere,aliwapa mpaka uwaziri,na nafasi mbali mbali,watu wenye asili za uhindi,uarabu,usomall,uzungu,mwalimu hakuwa mkabila,tukumbuke hivyo.Kwa mfano mtanzania ,mwenye asili ya kiarabu,kihindi,kisomali,kizungu,ukifika ofisini kwake,na...