Hawa raia walikosea kuvamia kituo cha Polisi.Yule aliyekimbilia Polisi,alikwenda mahali,ambapo atapata usalama.Sasa inakuwaje wengine wamfuate huko ili wamuadhibu?
Same. Mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Majengo wilayani Same, mkoani Kilimanjaro Brian Elisha Godson (12) amejiua kwa kujinyonga akitaka kuigiza kama filamu ya kujinyonga aliyoipenda kuiangalia akiamini hatakufa.
Godson anadaiwa kufanya jaribio hilo kwa kujinyonga na shuka saa 12...
Watu wanne wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya BM Coach kugongana na Toyota Noah katika eneo la Manga Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo jioni ya leo Ijumaa, Septemba 29...
Mwanafunzi wa shule ya sekondari Tamabu wilayani hapa Mkoa wa Mwanza, Alex Butawantemi aliyejemruhi mwalimu wake kwa panga anaendelea kusota rumande hadi uchunguzi ukamilike.
Tukio la mwanafunzi huyo Alex Butawantemi kumjeruhi mwalimu wake Stanford Mgaya kwa panga kichwani na mkono lilitokea...
Watafiti wa kisayansi wameibua wasiwasi miongoni mwa binadamu duniani baada ya kutoa ubashiri mpya ambao unaonesha ni lini mwisho wa dunia hii utafika.
Kwa mujibu wa ripoti ya wataalam kutoka kwa chuo kikuu cha Bristol huko Uingereza, wanadamu watatoweka kabisa katika uso wa dunia katika miaka...
Geita. Licha ya umuhimu wake kwa wajawazito, baadhi hawatumii dawa ya folic asidi, hivyo kuhatarisha afya za watoto walio tumboni.
Dawa hii, kwa majina mengine folate au vitamini B9 ambayo hutolewa bure na Serikali, husaidia mjamzito kujifungua mtoto mwenye afya njema ya ubongo na uti wa...
Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Dar es Salaam imetolea uamuzi mgogoro baina ya mchungaji John Mtuka wa Kimara na muumini wake, Neema Wawa juu ya fedha alizomkopesha mchungaji huyo ambaye amedai kuwa zilikuwa ni sadaka ya fungu la 10, na kubainisha kuwa zilikuwa ni mkopo hivyo zinapaswa...
Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imefanya upasuaji wa kifua ili kuondoa uvimbe kwenye mapafu kwa kutumia tundu dogo, na hivyo kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki kufanya upasuaji wa aina hiyo.
Upasuaji huo ambao umefanyika kwa mara ya kwanza...
Polisi nchini Uingereza wamezuru kwenye darasa la yoga katikati ya jiji baada ya raia mmoja kutoa taarifa ya mauaji ya halaiki.
Maafisa walikimbilia mahali hapo huku ving’ora vya gari vikilia na kuwakuta washiriki wa darasa hilo wakitafakari kimyakimya.
Hoteli ya Seaside inayotazamana na...
Geita. Mkazi wa Chato, John Marore anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo kwa tuhuma za kuvamia makanisa mawili likiwemo la Mtakatifu Bernadetha wa Lurd Parokia ya Nyakato-Buzrayombo na lile la Waadventisti wasabato yaliyopo kata ya Buzrayombo mkoani Geita.
Matukio ya uhalifu kwenye...
Tumia akili.Nyama zikiuzwa holela,na kusmbukiza maradhi binadamu,wewe na wenzako,ndio mtakuwa wa kwanza kulaumu serekali.Nyama lazima ipimwe,mnyama kafa ana maradhi ya kuambukiza,au siyo.
Kumbe wewe hujui,unafikiri wavuvi wanavua bila leseni.Wapo pia samaki wana sumu baharini,lakini wenyeji wanawajua,huwa wanatayarisha kwa uangalifu,wakikosea tu,wanakula sumu.
Wewe utakuwa unaishi maeneo yasiokuwa na wanyama pori,hata ng'ombe,ukitaka kuuza mpaka apimwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.