Recent content by Kikurajemb Original 2015

  1. K

    Kwanini sio muhimu kwa Ruge kujieleza kwenda kwake,kutopatana ama kupatana na RC DAR kwenye mkutano wa Mhe;Rais Tanga

    Wanabodi na Mkuu Ruge; Mkuu Ruge sioni sababu ya wewe kupoteza muda wako kukaa eti kuja na maelezo ya kuwa Kwanini ulienda kushuhudia uzinduzi wa kuweka jiwe la msingi ujenz wa bomba la mafuta-Chongoleani Tanga. Maelezo kwamba mmesameheana kutoka moyoni na RC Paul kama Mhe;Rais JPM...
  2. K

    Spika wa Bunge, Job Ndugai athibitisha kupokea barua ya kuvuliwa uanachama Wabunge 8 wa CUF

    Wanabodi JF, Wabunge 8 wa CUF hawajafukuzwa uwanachama na chama chao, "Mamlaka iliyokuajiri ndiyo mamlaka inayoweza kusitisha ajira yako" na si vinginevyo. Mhe. Spika hakuwa na sababu ya kupokea hiyo barua na hatakama amepokea hana sababu ya kufanyia kazi madai ya Lipumba. Wabunge...
  3. K

    Naiomba serikali, chonde chonde imuhifadhi Tundu Lissu kwa muda kidogo, hali si shwari uraiani

    Pamoja na ombi langu mkuu, akatunze familia yake na kusimamia kesi zake,na pia uwakilishi wake kwa wananchi na jamii kwa ujumla
  4. K

    Naiomba serikali, chonde chonde imuhifadhi Tundu Lissu kwa muda kidogo, hali si shwari uraiani

    Meseji sent mkuu. mimi ni mtanzania, mbona na wao wanakosea Kiswahili still mnawapongeza wamejitahidi kuongea. Na mimi nipongeze mkuu badala ya kunibeza. naamini hoja yangu na ujumbe umekufikia
  5. K

    Naiomba serikali, chonde chonde imuhifadhi Tundu Lissu kwa muda kidogo, hali si shwari uraiani

    Mkuu yule ni baba wa familia kama wewe huko kwako akikaa ndani miezi hiyo minne mliyokubaliana na waliokutuma uandike hili badiko lako hamtakuwa mnamtendea haki yeye, familia yake na hata jamii ya watanzania wengi ambao ameshikilia mashauri yao kuwa tetea mahakamani. Kwa ujumla mna iathiri jamii...
  6. K

    Usahihi: Lissu anatetewa na Mawakili 18 na si TLS

    Mkuu Petro hoja yako nimekuelewa sana. labda nifafanue vizuri, nimekuelewa yakuwa wale mawakili 18 wanaomtetea Mhe. Lisu Mbunge na Rais wa TLS hawafanyi kwa maelekezo wala kwa niaba ya TLS. Ni mawakili binafsi ambao ni wanachama wa TLS kwa mujibu wa katiba ya TLS lakini wanamtetea kwa personal...
  7. K

    Usahihi: Lissu anatetewa na Mawakili 18 na si TLS

    Mkuu Yehodaya.Yule ni Rais wa chama cha mawakili ama wanasheria wa Tanganyika TLS, Mkuu wewe inakuuma nini wakimtetea Rais wao? Mathalani, ulidhani ingekuwa ni busara kwa wananchi watanzania wasikie Rais wao mpendwa anatuhumiwa kwa mambo yake binafsi halafu wasimtete wa kae kimya kwa sababu ni...
  8. K

    Rais Magufuli: Hongera Kafulila kwa uzalendo dhidi ya IPTL. Waliokuita tumbili wao ndio matumbili

    Nampongeza sana Mhe:Rais Magufuli pia ningependa afuatilie mchango wa David Kafulila akiwa Mbunge huko kwenye vikao vya huko nyuma, na kwenye huu mjadala wa escrow na kila akisimama, mwisho ampe ubunge halafu amteue ajaze nafasi iliyoachwa wazi ya waziri wa nishati na madini yule kijana anaweza...
  9. K

    Chama kinapaswa kuangalia namna ya kumuwekea ulinzi Tundu Lissu

    "Mungu asipoulinda mji alindae afanya kazi bure" vivyo hivyo "Mungu asipoilinda nchi walindao wafanya kazi bure" Kuna mwingine alitupwa kwenye zoo ya simba wlioshindishwa na njaa yapata majuma saba. Lakini simba hawakumla bali yeye mfalme alishangaa kuona simba walivyokuwa wikicheza na kuwaramba...
  10. K

    David Kafulila: Tunajaza vijana kwenye vyeo vya UDC badala ya kuwarudisha shule wakasomee taaluma

    Mkuu uwe na shukrani leo hii kama Kafulila angeenda darasani na kuacha siasa ungejua wapi madudu ya escrow? nani angemgusa set na ruge? nani angejua ukipewa bil.1.6 unapewa uwenyekit wa bunge? au unapita kwenye kura za maoni kwenye chama chako kama umepewa bil.1.6 za mboga? nani angejua mambo ya...
  11. K

    Masikitiko: Nimetapeliwa na Halotel

    la Haiwezekani TCRA wamo humu pia wakae kimya kama hawahusiki, Labda kama wana-percentage zao Jaribu kuwasema wao direct uone watakovyo tiririka humu. mimi walinipiga laki 150 iliingia kwa namba ya wakala wao mwingine kimakosa , nimesubiri hayo masaa 72 mpaka ikafika miezi 3 nimezipata baada ya...
  12. K

    Tanzania tunakwenda wapi? Hebu tujikumbushe history kidogo ili tuone aibu "tujisahihishe"

    Huu ndiyo uzuri wa jf kuna watu ni great thinker wameelewa tunachokipenda siasa za hoja na sio kushindana kwa kuonyesheana misuli kwa wanasiasa walioko kwenye power kumiss use their power. kwa utashi wao.Na walioko kwenye vyama kama wajumbe wanabaki kuwa victim. Hili litakuja kutuletea shida in...
  13. K

    Tanzania tunakwenda wapi? Hebu tujikumbushe history kidogo ili tuone aibu "tujisahihishe"

    Hope message sent to you on the challenges, na mimi nimepokea pamoja namarekebisho yako katika vifungu vyote, Bunge linarejea..........
  14. K

    Tanzania tunakwenda wapi? Hebu tujikumbushe history kidogo ili tuone aibu "tujisahihishe"

    I get you Sir, You are very right from wrong But our challenge is only on political manner, other things remain constant. Tukijitahidi kuwa na siasa za upendo na amani its oky. Lakini siasa za visasi is like inviting demon on our ceremony as a "guest of honor"
  15. K

    Tanzania tunakwenda wapi? Hebu tujikumbushe history kidogo ili tuone aibu "tujisahihishe"

    Lugha ya watu mkuu na history kwa Kiswahili tupu hainogi. Thanx for positive critical
Back
Top Bottom