Habar wakuu, natafuta vitabu vya review advance, bios one and two, na chemistry one and two kwa sh elf tano kila kimoja, natafuta vile used ili niendane na pesa niliyonayo. Mwenye navyo tuwasiliane kwa no 0652819017
nimetoka sasa ofisiya serikali ya mitaa, nimewajibu sina akaniambia kua mimi ni kiburi na sitaki kuchangia tu, wamenitaka niaandike kwa maandishi na nimefanya hivyo... na wamesema si nafanya biashara kwenye eneo lao tutaonana tu
Habari,
Jamani naomba msaada wetu, mitaa ya home tuna kitigo pesa kidogo, na nmekianzisha baada ya kukosa ajira juzi wamekuja watu wa serikali za mitaa wanadai pesa za mwenge eti 10000, daa mimi sina na tangu nikue hii ni mara ya kwanza kusikia hili.
Naomba mnijuze hii ni nini na kwa nini...
Kwanza maana ya kwikwi, ni kujaa kwa hewa tumboni ni hewa tu ipo tumboni hakuna dawa ya asili wala kisayansi jibbu ni kwamba ananyonya hewa ni si maziwa ndo maana inajaa, swali una maziwa ya kutosha? itakua maziwa yako si ya kutosha ndo maana anameza hewa.... jitahidi kwenye maziwa, na usimpe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.