Recent content by Kijoli

  1. K

    Nampongeza mh.Said Juma Nkumba

    Nimetoka juzi sikonge sasa huyu anayempongeza Nkumba sijui ana zungumza nin,Sikonge ni wiliaya ya mwisho kabisa kimaendeleo ktk mkoa wa Tbr,kutoka Tbr mjini mpaka Wilaya ya sikonge ukifiika kwa uchakavu wa barabara na ubovu wa barabar hiyo cha kwanza ukifika na kunywa dicloper kwa maumivu makali...
  2. K

    Rage Tabora tunakufa

    wanyamwezi wenzngu tujikomboe kifikra kwanza kuliko kulalamika kila siku,kulalamika hatutatusaidia kitu,2fanye mapinduzi sasa,2amkeni sasa na kuwaondoa viongozi hawa walio lala usingizi wa pono,wanahojali ni kufurahisha watawala wao na kutetea chama chao kuliko kuwatetea wananchi wao,tabora ni...
  3. K

    Polisi wamsaka aliyerekodi mkanda wa video sakata la Lema

    Wana jf nisaidieni kwa hapa arsh ni wapi yanapatikana magwanda na t shirt za m4c
  4. K

    Picha: Nassari akiwa na Lema kituo kikuu cha Polisi, Arusha

    Jaman wadau nipate wapi aina ya gwanda alilovaa hapo nassari?
  5. K

    Tabora: Maandalizi yakolea kupokea M4C kuanzia Ijumaa hii

    M4C,Msiishie tabora mjini tu nendeni hadi sikonge kawwmbieni wanyamwezi wazinduke miaka zaid ya 50 tabora hakuna mandeleo,waambieni wanywmwezi kuwa chama walichokiamini na kukithamini kimewaacha kama watoto yatima wajarbu na chadema kwan ccm ni mama yao? wasomi wengi na viongozi wengi nchi hii...
  6. K

    Nisomee programme gan?

    Nisaidieni kwa ushauri,me nimesoma bachelor of arts with education,nina mpango wa mwaka huu kusoma masters hitji langu hapo mbeleni niwe lecturer je nisomee master gan kati ya master of education in admistration,planning and policy studies (MED.APPS) au nisome masters of education (M.ED) kwa...
  7. K

    Naomba kutoa hoja kuhusu suala la Mbatia

    Ifike wakati sasa mawaziri wa wizara ya elimu watokane na elimu husika,kama wizara ya elim wazir awe na kuanzia shahada ya elim
Back
Top Bottom