Ndugu yangu TIASSA Twende taratibu,
kama ni siku 240 @7500=1,800,000 hii ni ya chakula kwa mwaka mzima unayopewa na bodi.
chukua 1,800,000-720,000=1,080,000/=
Sasa hii 1,080,000/= ndiyo niliyosema unaibana kwa ajili ya chakula kama nilivyochanganua hapo juu.
Kuhusu usafiri amesema yupo chuo...