Recent content by kijana mdadisi

  1. K

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Kata ya Iseke kijiji cha Nkhoiree CHADEMA yaibuka kidedea
  2. K

    Mbunge wetu anatimiza wajibu wake,je,mbunge wako?

    umenena mkuu.acha waongee tu kwa hisia wanasingida tunajua tunaenda kufanya nn 2015,,, m.misanga out.tunahtaj mtu makini ili jimbo lisonge mbele kimaendeleo
  3. K

    Mimi ndo nitakuwa wa mwisho kufunga mlango wa CHADEMA ikifa

    tupo wengi sana mkuu.chadema chama makini.kinakubalika na watu wa rika zote.ubishi ni hapa jf tuu.nje ya keyboard vijana,akina mama,hata na wazee wanaikubali chadema. Mungu ibariki Chadema Mungu ibariki Tanzania
  4. K

    Diwani wa CHADEMA kata ya Kiwira atengwa kwenye vikao vya chama

    chadema tunawamini bado,ila malizeni migogoro ili nguvu kubwa tumshambulie adui ccm.siyo kushambuliana sisi kwa sisi.napata shida kuamini!!vijijini kote hasa maeneo nayotoka chadema tunaikubali.mkombozi wetu.kwahyo kinachotakiwa kunganisha nguvu ili ukombozi wa pili uje mapema.
  5. K

    For PCM,PCB,CBM,CBG takers

    kwa kukusaidia pcb anaweza kuchukua baadh ya koz kama ece,eee etc kwa baadhi ya vyuo kama st jose. Pia cbg wanasoma eng.kama nlvyotaja hapo juu
Back
Top Bottom