Mzigo huo, changarawe mahsusi kwa wachimba visima na wajenzi zinatumika kuweka floor ya tarazo na linta pia mzigo upo mwingi kama unahitaji nicheki inbox kwa maelezo zaidi na bei, nauza kwa piece na kwa kiroba kama unavyoona hapo
Sijaanza leo hii biashara, ingekuwa hivyo unavyosema ningerudi kijijini muda mrefu sana, najiamini na ndio maana hata wateja wangu ni watu wa kawaida sana ila wanapenda vitu vizuri
Kosoa kama kuna ukweli, unafikiri ubora wa kazi unatokana na maneno? Nikuchaji pesa nyingi kwa quality mbovu? Ukiambiwa kitanda 1M unang'aka ukiambiwa laki tatu unusu unakubali, nani akutengenezee kitanda kizuri kwa laki 3.5 yako, nakulipulia tuu utajua mwenyewe mbele ya safari.. Tengeneza kitu...
Mfanya biashara haogopi audience wewe, kama huna hela piga kimya, unafikiri biashara nimeanza leo? Umeambiwa huku jf wote mko sawa? Kuna watu wana hela hawajui vitu vizuri wanavipata wapi!! Mimi natangaza, una hela nunua, huna kausha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.