Hakuna mwanaume asiyehonga tumetofautiana viwango, muda wa kutoa na aina ya vipato, kuandikiwa tafadhali nipigie na kumpigia ni kuhonga kumnunulia kiturushi no kuhonga pia, hata wa laki hizo bado Cha mtoto Kuna mtu kampeleka mtoto was mpenzi wake Durban S.A kwa matibabu 🤣🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.