Acha uongo wewe. Huyu Mboni ni Mkurugenzi wa Watoto Msaidizi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Sie Mboni wa UVccm. Fanya Research yako vzr kabla ya kuchafua watu!
(Huyo Mboni M. Mgaza (namba 2) ni msichana mmoja ***** kuliko maelezo, kazi yake kubwa umbeya na udaku kwenye...
Acha uongo wewe. Sherehe zimenoga sana. Na hapa tulipo, Uwanja wa Mkwakwani umefurika na hadi watu wamekaa ndani ya uwanja wa mpira! naona JF siku hizi imevamiwa na wapotoshaji wakubwa.
Safi sana JK. Tume imetulia, umejaribu kuchagua wawakilishi wa makundi mbalimbali...kazi kwa Tume kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi...hatutegemei mje na visingizio..mhe Rais ametimiza wajibu wake kuwateua...chapeni kazi ya kuratibu vyema mchakato huu muhimu ktk nchi yetu.
Acha uongo wewe. CCM imeshika namba 2, CHADEMA hawana mtaji Tanga...Kwa taarifa yako, hiyo kata ilikuwa ni ya CUF...
MATOKEO NI KAMA IFUATAVYO:
Waliojiandikisha: 8,504
Waliopiga kura: 2,040
Kura zilizoharibika: 13
Kura Halali 2,027
MATOKEO:
CUF: 1,142
CCM: 714
CHADEMA: 170
UDP...
acha uongo wewe. CCM imeshika namba 2, CHADEMA hawana mtaji Tanga...Kwa taarifa yako, hiyo kata ilikuwa ni ya CUF...
MATOKEO NI KAMA IFUATAVYO:
Waliojiandikisha: 8,504
Waliopiga kura: 2,040
Kura zilizoharibika: 13
Kura Halali 2,027
MATOKEO:
CUF: 1,142
CCM: 714
CHADEMA: 170
UDP: 0...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.