Hiyo inajumuisha yafuatayo.
Idadi ya watu ni kuwa wasizidi 150
1. Ukumbi,
2. chakula,
3. Vinywaji (soda, juice na maji)
4. Mapambo
5. MC & Muziki
6.Video & Picha
7. Viti na meza
Kwa yale mengine yanayoongezeka gharama yake itaongezeka.
Karibuni 0712-358686
Ahsanteni nyote kwa mawazo yenu mazuri kabisa.
Tunawashukuru wale wote ambao wamkua tayari kupata huduma hii na kuleta maombi yao ya kuanza maandalizi,
Kwakweli gharama hizo ni za kuanzia kwa na ni kwa watu wasiozidi 150. Kuhusu vinywaji ni soda, juice na maji
Kwa maelezo zaidi naomba...
Ahsanteni nyote kwa michnago yenu ya mawazo.
Pia nawashukuru wale amabo wameonyesha utayari wa kuhitaji huduma hii na kama ukipiga simu unaweza kupata maelezo mazuri sana ili uweze kuamua nini cha kufanya
Kwakweli gharama hizo ni za kuanzia tu na idadi ya watu haizidi watu 150. Na kuhusu...
Habari zenu,
Tunapenda kuwajulisha watu wote kua sasa tunatoa huduma za kukusaidia kukata kujua taarifa mbalimbali za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani, meli pamoja na ndege.
Unachotakiwa kufanya ni kutupigia simu ukieleza wapi unataka kuelekea, tarehe ya kuondoka na ungependa kutumia basi...
Habari za jioni wanajamvi
Kulingana na watu wengi kuwa bize na shuguli mbalimbalib maandalizi ya harusi huwa magumu hasa ukizingatia kuwa wakati wa shuguli za harusi, sendoff, kitchen party, kipa imara na nyinginezo ni shuguli ambazo zinahitaji muda wa kutosha kwa ajili ya maandalizi. Kwa...
Habari za jioni wanajamvi
Kulingana na watu wengi kuwa bize na shuguli mbalimbalib maandalizi ya harusi huwa magumu hasa ukizingatia kuwa wakati wa shuguli za harusi, sendoff, kitchen party, kipa imara na nyinginezo ni shuguli ambazo zinahitaji muda wa kutosha kwa ajili ya maandalizi. Kwa...
Habari za jioni wanajamvi,
Kulingana na watu wengi kuwa bize na shuguli mbalimbalib maandalizi ya harusi huwa magumu hasa ukizingatia kuwa wakati wa shuguli za harusi, sendoff, kitchen party, kipa imara na nyinginezo ni shuguli ambazo zinahitaji muda wa kutosha kwa ajili ya maandalizi. Kwa...
Habari za jioni wanajamvi
Kulingana na watu wengi kuwa bize na shuguli mbalimbalib maandalizi ya harusi huwa magumu hasa ukizingatia kuwa wakati wa shuguli za harusi, sendoff, kitchen party, kipa imara na nyinginezo ni shuguli ambazo zinahitaji muda wa kutosha kwa ajili ya maandalizi. Kwa...
Duh, JF ni zaidi ya darasa.
Mimi nina tatizo moja nahitaji msaada wenu. Je kuna uwezekano wa kuagiza vitu toka china bila mimi mwenyewe kwenda?
Bei zikoje? Je kuna kampuni au watu ambao wanahusika kufanya shuguli hizi?
How risk is it? kwa wataalamu na wazoefu wa biashara hii manatoa ushauri gani
Habari za jioni wanaJF,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Katika kuzingatia sherehe mbalimbali watu wengi wamekuwa wakipata shida sana hasa wanapokuwa na sherehe za aina tofauti ambazo huhitaji maandalizi ili kuzifanikisha. Sherehe hizo ni kama...
Habari za jioni wanaJF,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Katika kuzingatia sherehe mbalimbali watu wengi wamekuwa wakipata shida sana hasa wanapokuwa na sherehe za aina tofauti ambazo huhitaji maandalizi ili kuzifanikisha. Sherehe hizo ni kama...
Habari za jioni wanaJF,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Katika kuzingatia sherehe mbalimbali watu wengi wamekuwa wakipata shida sana hasa wanapokuwa na sherehe za aina tofauti ambazo huhitaji maandalizi ili kuzifanikisha. Sherehe hizo ni kama...
Mimi nimeanza kushtuka baada ya kuona eti Prime minister ndo anakuwa General Manager.
Hata kama ni utapeli huu sasa umekuwa aina yake.
Tatizo la Watanzania wengi wanapenda utajiri wa haraka ambao ni pamoja na kutaka vitu vya bure bure tu. ebu tujifunze kufanya kazi kwa bidii na tujiwekee...
Wana jamvi habari za majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Leo najitokeza kuomba msaada wenu. Natafuta ajira au kazi ya ziada nimeamua kufanya hivi kwani nimeona kuwa ajira niliyonayo kipato ninachopatahakikidhi mahitaji hivo nimeamua kutafuta kazi nyingine ili kujiongezea kipato.
Elimu yangu ni Diploma...
Mimi iliwahi kunikuta ila si kwa mwanafunzi. aliponiambia tu kuwa ni mjamzito nikamwambia twende hospitali tukapime ili apewe ushauri wa daktari akawa ananichenga mara hajapewa ruhusa, mara dada hana mtu wa kubaki nae visingizio vikawa vingi. nikimsisitiza twende hospitali ananichenga, ikafikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.