mimi nafuga kuku wa kienyeji.
wanalipa vizuri mayai yananunulika vizuri tu na kuku wenyewe...siku za sikukuu ndio faida inakua mara dufu..bado sijawa mfugaji mkubwa..nina kuku 70(wazalishaji; majogoo 10 na mitetea 60) na kuku wanaokua wako 100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.