Hili jambo niliwaeleza viongozi wa juu wa CUF baada ya uchaguzi wa mwanzo wa
vyama vingi 1996 nilimueleza Maalum na viongozi wenzake Kwa wasikubali kushiriki katika uchaguzi wowote bila ya kuwepo tume ya kimataifa na katika tume hiyo asiweko mtu yeyote kutoka Afrika , kama vyama vyote vikubwa...
Kama utakumbuka kwamba Mipango na Majaaliwa wote hapo baada ya Magufuli kufariki walikuwemo katika mpago wa kumpinduwa mama , Kwahiyo mama alipoapishwa kuwa Raisi akashauriwa hao Jamaa awache tu kama walivyo ili isije ikaleta mpasuko Kwa wakati ule, kwavile makamo wa raisi hana kazi kubwa na...
Mzee Idrisa Abdulwakil alikuwa Spika wa Baraza la wawakilishi Zanzibar na CCM wakati wa Mwalinu walimpitusha kugombea uraisi Zanzibar, jee hii Polepole amesahau
Kumbuka kwamba CHAMA kinashika HATAMU, jee unajuwa maana ya HATAMU?
ukishajuwa maana ya hilo neno utaelewa ni kwanini Raisi wa Jamhuri lazima awe mwekiti .....
Chadema wajifunze Zanzibar tokea mwaka 1995 kila baada ya uchaguzi kunafanyika maridhiano na wanaohitaji maridhiano ni wapinzani sio CCM . Hizo ndio mbinu za CCM kupoteza malengo ya wapinzani na kupoteza muda. Bila ya katiba mpya na tume huru upinzani hauwezi kufanikiwa.
Mimi niliwahi kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.