Kuna kipind nilikua na tatzo la kuwai kumaliza,katika tendo la ndoa,lkn baadhi ya watu wakanishauri ni2mie njia ya kubana mkojo,eti itanifanya nichelewe kumaliza.., lakini,baada ya kufanya zoezi ilo kwa wiki 2 naona ndio tatzo limezid uume wangu umekosa nguvu kabisa, nafika mshndo lkn uume...