Wakuu serikali iliongeza ada vyuo vya ualimu maradufu kama ifuatavyo;cheti 300,000/=,stashahada masomo ya sanaa 400,000/=,stashada masomo ya sayansi 600,000/= source:mwanainchi july 28. Je stashahada ya awali watalipa sh ngapi?
Wadau wa elimu chuo cha ualimu Tukuyu hakijapangiwa wanafunzi. Nahisi kimewekwa kando kusubiri watakao chaguliwa diploma ngazi ya sec, au cheti primary level.
Mwenye taarifa za kina atujuze.
Wadau wa elimu, serikali kwa mara ya kwanza imechagua walimu kibao kusomea stashahada elimu ya awali, je waliochaguliwa ni div iv? Watasoma miaka mingapi? Wataajiriwa na serikali? Kwani shule za msingi zina madarasa ya awali? Mimi najua pre primary school ni private tu. NAOMBA NIJUZE.
Ndugu,zoezi la kuchagua wanaf wenye sifa ni zito maana wizara kwa mwaka 2014/2015 ilinyumbua na kupata categories nyingi tofauti na miaka ya nyuma,huenda hali hii imefanya mchakato kuchelewa.mswahil anasema haraka haraka haina baraka LAKINI ngojangoja yaumiza matumbo,nina imani na serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.