Atakuwa msukuma nini!? Mana wasukuma masimu yao Huwa mabaya na Ili afurahie MATUMIZI ya Simu sharti ringtone iwe kubwa. Na akipokea anata watu wote waliopo eneo alilopo watambue kama anaongea na mtu Kwa kutumia Simu hivyo anaongea Kwa sauti ya juu sana. Hapo ataongea kiswahili, kisukuma na...
Wakuu nimevumilia nimechoka! Kuna Siri Gani kati ya jezi iliyoandikwa CREFISA na watoto wa kike?
Au ninyi wenzangu huko mliko hamkutani nao?
Najua na vijana wa kiume wanavaa ila sijawahi ona jezi iliyowahi pendwa na vijana wa kike kama hii
Moloko ana Work rate kubwa kuliko Chico[emoji3],hapo kila mmoja ana faida na udhaifu wake. Ukiniuliza naondoka na nani nabeba zangu Moloko tunasonga. So far Chico ni talented player!
Vipi Lukaku ndani ya Man U na yule aloenda Inter hadi Chelsea wakamuona tena baada ya kumkacha miaka mingi kabla hajaja kufeli tena? Huku Man U alionekana ameshindwa. Alipoenda Inter akawa balaa, Chelsea wakamnunua kutokana na moto aloonyesha Inter, na sasa inaonyesha kafeli tena na Inter...
Huyo jamaa naamini anakuja kufufuka! Na ni mshambuliaji mzuri sana. Angalia ktk hiyo misimu miwili alofunga goli 2 kwenye klabu, timu ya taifa kafunga ngapi?
Orlando wana wachezaji wazuri kuliko Mamelody? Mbona Miqiussone alishindwa kufurukuta? Na kule Ahly mbona kashindwa kifurukuta ilihali anazungukwa na wachezaji wazuri tupu? Huku Simba si aliwika hadi Ahly wakamuona? Mpira hauko hivyo, na kumbuka hao wasauzi walimuona akiwa top player ktk ligi ya...
Nimeenda kutaka kuchukua mkopo Wa milioni 10 kwa miaka 2 wakaniambia mkononi nitapata milioni 9 na laki 3+ nimeshangaa sana nikauliza mchanganuo ukoje jamaa akaniandikia hivi;
1. Gharama 184000
2. Insurance laki na 60+
3. CRDB 340785.077 sasa kwa ninyi wazoefu Wa huko Crdb hicho kipengele cha 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.