Recent content by Kiduku starlet

  1. K

    Senegal yaita 25 wanaocheza nje tu kuikabili Stars Afcon

    Kama umefuatilia michezo yote aliyocheza Senegal katika kundi lake la kufuzu AFCON utawaona sio wazuri kihivyo kama watu wanavyowapa nafasi . Mpira ni dakika 90 naimani Taifa Stars watatoka na matokeo mazur
  2. K

    Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

    Kwa style hii ya Nguri Nassari kujiunga na chama tukuka cha CCM ni ya karne . Hongera Nassari . Huu ndo uzalendo
  3. K

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Kweli uzee dawa . Mzee amefanya jambo la kutukuka . Niliisha sema atakae baki CHADEMA apimwe akili kama ziko sawa . Tulikumiss mzee
  4. K

    Halima Mdee achukizwa na viongozi wa dini kuongea na Rais, ataka waumini wao wasiende kusali

    Wananchi waliomchagua Halima Mdee kama mwakilishi wao Bungeni inabidi wajitathmini maana si kwa bangi hizi za huyo kaka
  5. K

    Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

    Sawa labda na wewe ni mmoja wa wapendwa wa wengi huko Ulaya . Mpendwa wako Lissu ameongea wazi wazi kuwa yeye ni Pro - Ushoga . Ila sisi Watanzania tuliolelewa katika malezi tukuka hatuwezi kukubali Watanzania wachahe waliojiunga katika kikundi kiitwacho CHADEMA kutuletea tabia mbaya za kishoga...
  6. K

    Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

    Mimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa...
  7. K

    Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

    Ha ha ha aende tu akaongee maana hakuna jipya atakaloongea zaidi ya zile pumba alizoongea BBC . Yaani kama hiyo ndo strategy ya CHADEMA ya kumtumia Lissu kuichafua TANZANIA basi watafute mtu mwingine
  8. K

    Kutoka ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam, Mkutano mkuu wa Sekta ya Madini

    JPM anaeleweka sana kwa mambo mazuri anayoyafanya . Yule wa Hard Talk ha ha ha anasafari ndefu sana katika Siasa
  9. K

    Spika Ndugai amtaka Prof. Assad(CAG) kufika mbele ya kamati ya maadili vinginevyo atapelekwa kwa pingu

    Kwa kweli hapo mzee wangu Assad amevurunda , maana kwa busara na hekima hayo yalikuwa niya kumfuata spika na kumwqmbia hayo , lakini hatua aliyoichukua kuongea kwenye vyombo vya habari halikuwa ni jambo la busara
  10. K

    KIFUSI KINAHITAJIKA TUANGOMA

    KIFUSI KINAHITAJIKA TUANGOMA MWENYE NACHO TUWASILIANE
Back
Top Bottom