Naam, nilijua Kwa hakika kabisa nitapata kitu kipya ukimueleza Shekh Ahmed, Akhsante sana Shekh Said.
Sijui nani atakae kuelezea wewe Kwa watakaobaki siku Allah akikuchukua! Maana una hazina nyingi, si haba.
Namuomba Allah akupe mwisho mwema, na sisi pia.