Niliwahi kumsikia Shekh mmoja anasema walikuwa na kikao Cha pamoja na Mapadri, basi wakaambizana kila Dini (Waislam na Wakristo) waseme chochote kizuri kuhusu Dini nyingine.
Waislam wakasema uzuri ktk Ukristo ni wafuasi wao wanavyo watii viongozi wao, ni watiifu sana. Na Wakristo wao wakasema...
IPO kauli ya baadhi ya Ahlul ilmi ( Wanazuoni wa dino ya kiislamu) nafikiri mmojawapo ni Al-uthaimiin, kuwa mtoto wa nje ya ndoa anaweza kunasibishwa na baba Kwa masharti kadhaa, miongoni mwayo ni (I) Baba kumkubali mtoto kuwa ni wake (Ii) mwanamke aliyezaa na asiwe mke wa mtu (III) kusiwe na...
Kama nilivyoeleza maana ya Salaf kiistilahi hapo nyuma, ataingia yoyote yule ambae atakae FANYIA KAZI mafundisho ya Dini kwa uwelewa wa wema waliotangulia (Salaf), yaani iwe IBADA, ITIKADI NA MIAMALAAT ni kama walivyoelewa Maswahaba kisha wanafunzi wao (Attaabiina)kisha wanafunzi wao (Atbau...
Ngoja nitoe mchango kadiri nitakavyo afikiwa, neno Salaf Luna maana mbili, kilugha na kiistilahi. Kilugha maana yake ni aliyetangulia/ aliyepita au aliyekuwapo kabla, Kiistilahi maana yake watu wema waliokuwepo (Maswahaba) wakati wa Mtume (swala na salami zimfikie) pia hapa wanaingia wanafunzi...
Wamekuja na mkaa mbadala (Rafiki coal briquettes) kama watafanya kadiri walivyosema itasaidia kwa kiwango kikubwa kuokoa misitu.
Mimi binafsi niliwapigia simu Stamico kujua namna ya upatikanaji wa huo mkaa, wakanambia wanatafuta agents wa kuusambaza, nikawaambia nipo tayari kuwa agent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.