Recent content by Kiduila

  1. K

    Muda unakimbia, hii ndiyo AZANIA sekondari katika baadhi ya picha

    Mr. Kwayu alikuja Azania nafikiri 1992, second alikuwa Meja, Alhamdulillah it was very good time
  2. K

    TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

    Innaa lillahi wa innaaa ilaihi raajiuun, Allah ampe kauli thabit.
  3. K

    Naomba kufahamishwa mabasi ya kwenda Mbogwe - Geita

    Utashuka Masumbwe, maana ndiyo ipo njia kuu.
  4. K

    Prof. Makubi afanya kikao cha kimkakati na Madaktari Bingwa/bobezi ndani ya MOI

    Mimi maoni yangu wawe waadilifu, nilikuwa na mgonjwa wangu hapo Muhimbili (sio MOI) alipofariki dawa zilizobaki hatukuziona!
  5. K

    Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

    Niliwahi kumsikia Shekh mmoja anasema walikuwa na kikao Cha pamoja na Mapadri, basi wakaambizana kila Dini (Waislam na Wakristo) waseme chochote kizuri kuhusu Dini nyingine. Waislam wakasema uzuri ktk Ukristo ni wafuasi wao wanavyo watii viongozi wao, ni watiifu sana. Na Wakristo wao wakasema...
  6. K

    What happened to our 767-300 freighter promised to arrive in the country April 2023?

    I was about to ask the question, we're waiting for it anxiously
  7. K

    Aliyetumia Silent Ocean - naomba msaada wa ufafanuzi

    +255746813813 wapigie namba hiyo hapo
  8. K

    Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

    IPO kauli ya baadhi ya Ahlul ilmi ( Wanazuoni wa dino ya kiislamu) nafikiri mmojawapo ni Al-uthaimiin, kuwa mtoto wa nje ya ndoa anaweza kunasibishwa na baba Kwa masharti kadhaa, miongoni mwayo ni (I) Baba kumkubali mtoto kuwa ni wake (Ii) mwanamke aliyezaa na asiwe mke wa mtu (III) kusiwe na...
  9. K

    Tofauti kati ya masalafi na wahabi

    Kama nilivyoeleza maana ya Salaf kiistilahi hapo nyuma, ataingia yoyote yule ambae atakae FANYIA KAZI mafundisho ya Dini kwa uwelewa wa wema waliotangulia (Salaf), yaani iwe IBADA, ITIKADI NA MIAMALAAT ni kama walivyoelewa Maswahaba kisha wanafunzi wao (Attaabiina)kisha wanafunzi wao (Atbau...
  10. K

    Tofauti kati ya masalafi na wahabi

    Ngoja nitoe mchango kadiri nitakavyo afikiwa, neno Salaf Luna maana mbili, kilugha na kiistilahi. Kilugha maana yake ni aliyetangulia/ aliyepita au aliyekuwapo kabla, Kiistilahi maana yake watu wema waliokuwepo (Maswahaba) wakati wa Mtume (swala na salami zimfikie) pia hapa wanaingia wanafunzi...
  11. K

    SoC02 Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji

    Hiko kifaa kipo hapa Tz, niliwahi kuuliza bei kkoo wakati fulani walikuwa wanauza arround 170,000/=Tsh.
  12. K

    Uvunaji mkaa una athari gani kwenye kilimo na mazingira yetu?

    Wamekuja na mkaa mbadala (Rafiki coal briquettes) kama watafanya kadiri walivyosema itasaidia kwa kiwango kikubwa kuokoa misitu. Mimi binafsi niliwapigia simu Stamico kujua namna ya upatikanaji wa huo mkaa, wakanambia wanatafuta agents wa kuusambaza, nikawaambia nipo tayari kuwa agent...
  13. K

    Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

    Sewage pump 20hp na 15hhp, naomba bei zake
Back
Top Bottom