Aiseee maneno yako yangekuwa yana ukwel ingekua story nzur sana, hiv ni wabunge wangap wameandaa ziara za kwenda kujitambulisha majimbon kwao? Halaf unaposema Ubungo, ubungo ni kubwa sijui ni mitaa gan ambayo wamesema hayo maneno kuwa wameuziwa mbuzi kwenye gunia? Mbunge anahak ya kwenda...
Hahaaa dah inafika tym inabid ucheke tu, yan mbowe kawasilisha ombi kwa lowassa kuwa apewe million 200, halaf hapo hapo chama kimetoa million mia 4, hadi hapo jumla ni million mia 6.....then hazijulikan zilikoenda... Hiv msiba ulilshaisha kumbe au bado? Pamoja na yote tunataka waliomuua mawazo...
mwachen mzee apumzike, hiv angesema watu waingie mtaan leo mngekua mnasemaje humu ndani.. Ameamua kunusuru maafa na ndo mana mnapata muda wa kuyaandika haya yote
Hamna kitu kinachoniuma kama kuona hawa wajumbe wa CCM kuchukua VITAMBULISHO vya watu na kwenda kunakili namba za VITAMBULISHO, kama mnajiamini, na kama mnaona mnapendwa acheni kuchukua VITAMBULISHO VYA watu, wote tusubiri october wananchi wenyewe tuzungumze.
Kila mtu ana KITAMBULISHO chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.