Vipi wale jamaa wengine wako wapi ?maana yake jukwaani sijawaona kabisa tena katika picha zoote.Shonza,mchange na nani sijuw yule.Au ndo tayari wamewatupa?au wamepata ulaji wizara ya fedha nao?
Ofcourse mapokezi tumeyaona je nini sasa mtafanya ili kuendelea kumweka jamaa juu au kujaribu kubadili uelekeo wa CC ya chama? tunarudi tena serena au na kesho tena mtafanya mapokezi mengine?Nawapongeza kwa ubunifu mlionao lakini bado hautoshi kupambana na watu wenye uono mpana na fikra pevu CDM...
Jana nilikuwa nakutafuta katika ule uzi wa Kagasheki ulikuwa wapi ndugu yangu? Hasira zote ndo umeamkia Kigoma? Poleni sana mkirudi tukutane ofisini tukajipange upya naona jamaa wanataka tuharibia mkate wetu wa kila siku na siku hizi jamani mbona majanga.!
aaaah sasa naona JK ameishiwa kabisa watu wenye uwezo na kazi na sasa atajaribu kuwaweka kina mingiro na option pekee inayoweza kumuokoa ni kufanya tena maajabu kwa kuchagua mawaziri kutoka katika kambi ya upinzani (CDM) Tusishangae kina zitto,lisu ,Mnyika kupewa hizo post manake watu wake wa...
wakati mnawatafuta kina Rtz jamani naomba muwaulize safari yetu kesho kigoma ipo au bosi kaagiza turudi haraka ofcn Lumumba tukajipange upya?sasa kama hivyo dogo aka prezoo kesho atasindikizwa na nani si tutazidiwa ujanja na vijana wa Bavicha?Lakini liwalo na liwe kwani dogo amechangia mwenyewe...
daah serikali kama hii ya jk inapatikana hapa tz tu ktk dunia yoote hii.Mzee mwanakijiji hebu tusaide upembuzi yakinifu wapi tunakwenda.Mzee wetu wa kuambiwa amechelewa sana kuambiwa mpaka tunafikia huku.nadhani mama alietoka UN sasa hivi atakabidhiwa wizara
Faiza Foxy maoni ya wengi humu jamii forum either ni prochadema au promaccm tunaamini pesa zimefichwa uswisi na zitto amefikia uamuzi ule either kunajambo anaficha au bado hajakamilisha kile anachokiamini ni ushahidi wa jambo hilo.Hivyo basi kauli za watu wachache humu ndani isichukuliwe kwamba...
Kwanini asije mwenyewe mpaka atafutwe na uongozi wa jamii forum wakati huko facebook kwa watoto wa shule na tweeter anapost atakavyo? anatudharau au anakwepa hoja nzito?kwa nini asije kwa ID yake verified akaclearup all doubts?Haya mambo yakusemeana mpaka lini?Si yeye ndio aliyekafanya interview...
Kati ya hawa hapa chini mbona simuoni mwenyewe zito?kwa nini asemewe au asemee facebook,tweeter na kwingineko ila si hapa?Au na yeye ni bingwa wa kutumia multiple IDs?Au ni miongoni mwa hawa guest wetu?na kwanini yeye akiwa ni mmojawapo wa founders wa hii kitu leo aje kwa kificho.Aisee!
There...
Kwa mtazamo wangu binafsi sisi wapenzi na wanachama wa CHADEMA sasa hivi tukae na tufikirie kwa makini,nini kifanyike badala ya kurushiana makombora.Katiba ndio hiyo haina ukomo wa uongozi kwa viongozi wetu basi tukae na kupendekeza yafanyike marekebisho ya katiba na vipengere muhimu ambavyo...
Kweli mkuu,inabidi tuzidi kuwauliza yeye na nani au kinanani?kwanini watusemee na sisi ilihali midomo tunayo?nijuavyo mimi kama hawadanganyiki hawalazimishwi kukaa CDM hakuna aliyeshikiwa mtutu wa bunduki ili achukue kadi ya chadema kama wamechoka waende kwa magamba.Hawa ni ccm na wanayo katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.