Recent content by Kidawa_hiphop

  1. K

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nipo mwanza mafundi niliowapelekea wanagwaya gwaya tu..mkuu uko wapi??..nipo tayari kukutumia uifix.
  2. K

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    kelphin mkuu msaada hapo juu
  3. K

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Mkuu nina Jbl flip 6 nimeidondosha sasa hivi spika inakasauti fulani sio kazuri kama vile mtu ameweka mkono au kitu kwenye spika..kama ina paraza hivi..mkuu hii kitu inarekebishika??
  4. K

    Nimepoteza case ya Oraimo Freepod 4..mwenye case anaye uza msaada tafadhali..

    Pods ninazo ila case ndo imepotea. Nipo Mwanza. Kwa ambaye anayo case tutafutane tafadhali.
  5. K

    Wapi pazuri kwa ajili ya Date Night kwa hapa Mwanza..(Outdoor)

    Jf wapuuzi wamekuwa wengi sana.Kutoa a simple recommendation tu watu wanatoa matusi.
  6. K

    Wapi pazuri kwa ajili ya Date Night kwa hapa Mwanza..(Outdoor)

    Wakuu nataka nitoke na mtu kesho naomba kuelekezwa wapi nitapata best experience kwa hapa Mwanza,isiwe indoor sana.
  7. K

    Bajeti ya Kukamilisha jiko

    Ooh..kumbe..kitu gani kingine mkiona ndani mnajiozesha?
  8. K

    Bajeti ya Kukamilisha jiko

    Kwanini?
  9. K

    Bajeti ya Kukamilisha jiko

    Nadhani nifuate huu ushauri wako,nitumie 200k kuanza na hivi vidogo hela inayobaki ni bora niweke nguvu sebuleni niwe na sebule kali ya kupumzika nikicheki EPL na kusikiliza muziki.
  10. K

    Bajeti ya Kukamilisha jiko

    1.5m tsh ..pesa
  11. K

    Bajeti ya Kukamilisha jiko

    Sawa mkuu. Nitayaweka hayo mafiga kwenye hizi tiles
  12. K

    Bajeti ya Kukamilisha jiko

    Umemwaga nondo sana mkuu.Shukrani sana mkuu. Ila bajeti yangu nilikuwa nimetenga kama 1.5 nikitegemea na hizo electric appliances kama fridge n.k,kumbe hazina umuhimu..kumbe kwa 200k tu naweza anza mambo..una lipi kwenye hili?
Back
Top Bottom