Recent content by kidambinya

  1. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Uliambiwa kuwa umewekwa Database?
  2. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Je, Kuna wale ambao labda wamepata alama kati ya 0% to 20% let's say. Nao pia wanawekwa katika Database au wanawekwa katika Database wale tu waliokaribia kufaulu Interview? Clarify Please.
  3. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Je, Kuna wale ambao labda wamepata alama kati ya 0% to 20% let's say. Nao pia wanawekwa katika Database au wanawekwa katika Database wale tu waliokaribia kufaulu Interview? Clarify Please.
  4. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Kuna yeyote anamfahamu mtu aliwahi itwa kazini eti kwakuwa alikuwa katika Database?
  5. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Hivi ni kweli huwa wanweka watu kwenye Database yao au ndio kuwatia tu moyo?
  6. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Nimepokea ya kuwa NOT SELECTED eti wameandika upo katika Data base ya TRA 😭😭 very painful. Nani akumbuke hiyo Data base ni uongo huu.
  7. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Daaah Very painful tusiopokea email hadi sasa.
  8. kidambinya

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Nani kapokea emails jamani, wamesema watatuma emails kwa waliofanya Oral Interview. Wamesema watatuma Leo 28 May, 2025. Mbona kimyaaa au ndio kichinjio?
  9. kidambinya

    Oral Interview ya TRA 2025 nikajikuta kila kitu nimesahau

    Tuombe Mungu tu. Sijui nilijibu nini
  10. kidambinya

    Kutoboa oral ya TRA-2025

    Mimi sijui majibu niliyojibu Mungu tu ndio mjuaji
  11. kidambinya

    TRA toeni basi hayo matokeo ya oral leo si ndio tarehe 26 au na leo mnataka muombe misamaha mingine

    Kuna jambo linafichwa hapa sio Bure. Wangetoa PDF kwa namba za usaili Kisha wakatuma emails kwa waliopata kazi. I smell Hujuma hapa 😭
  12. kidambinya

    Direct Sales Agents at SIMBANET

    Naomba kuuliza Salaries zao hawa SimbaNet maana kuna Mdogo wangu kaitwa Interview asije jichanganya bureee. Mwenye kujua, kindly assist
  13. kidambinya

    Msaada wa kupata Pasi ya kusafiria

    Hawazingatii kabisa kuhusu safari Wanazingatia zaidi uraia, uraia wa wazazi na serikali za mtaa au barua ya mwajiri
Back
Top Bottom