Recent content by kidambinya

  1. kidambinya

    Msaada wa kupata Pasi ya kusafiria

    Hawazingatii kabisa kuhusu safari Wanazingatia zaidi uraia, uraia wa wazazi na serikali za mtaa au barua ya mwajiri
  2. kidambinya

    Wachaga ndio watu wanaogoza kwa kuzaa watoto wachache nchini Tanzania

    2012 Census by Approximations: 2.4 M Chaga 2.2 M Zaramo 20% of the Population ni Sukuma So Chaga ni top 10 tribe kwa kuzaliana tz.
  3. kidambinya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeshinda jana Mkeka 1, kila nikijaribu kutoa haitoki na ninapowapigia wanadai wanarekebisha
  4. kidambinya

    Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

    Upo nyuma sana aiseee! Lindi ni LNG Project. Kama hujui jaribu hata Google uweze kutofautisha na miradi mingine ya Gas
  5. kidambinya

    Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

    Acheni dharau kwa Lindi. MRADI WA LNG unaotarajia kuanza muda si mrefu ndio unakwenda kubadilisha kila kitu. Rais kaamrisha Airport iboreshwe Chuo cha masuala ya Gas kitajengwa UDSM nao washachukua eneo na soon wanajenga Chuo cha Masuala ya Mahakama Open University Eneo la viwanda Kutokana na...
  6. kidambinya

    Mdee: Sitishwi na mbwa ninaowafuga

    Kwenye hii kesi alichofanya Halima na wenzake ni "to buy time" wanajua kuwa watavuliwa ubunge but sio kwa kuondolewa bungeni kipindi cha budget, walisoma nyakati wakaona bunge la budget linakaribia kuisha hivyo wakate rufaa kimakosa, hukumu itolewe kisha wakate tena rufaa, na hapo muda utakuwa...
  7. kidambinya

    Spika sikiliza ushauri wa Mpina, iundwe tume kuchunguza kwa nini January Makamba amechelewesha mradi wa JNHP. Pia mizengwe ya bei ya mbolea

    Muda mwingine hata kama unakuwa na chuki na mtu, fikiria kabla ya kuandika. January kateuliwa September 2021 na hadi sasa ni miezi 9 tu! Niambie sasa, nani amekaa muda mrefu kati ya January na Medadi? Hii nchi ivumilie tu, ukweli ni kuwa Viongozi wa dini wamepandikiza chuki mbaya sana za udini...
  8. kidambinya

    Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

    Mleta hoja unachanganya mambo kidogo, kuna wanaooga na wale ambao wanajimwagia maji. Mvuto wa bafu Mazingira mazuri na safi bafuni ndio chanzo kikuu watu kuoga mara kwa mara. Mfano: Kuna watu bafuni kuna miundombinu yote ya kisasa kama SAUNA, jacuz, mfumo wa maji ya vuguvugu, n.k why asioge na...
  9. kidambinya

    Mazoea katika Nyumba za kupanga

    Hiyo kitu imenikuta aisee! Nilienda kununua bidhaa kwa duka ya mama fulani hapo kwao, ni mgeni mtaani but kwa kuwa alikuwa bize akaniambia subiri kidogo nihudumie hawa kwani wewe ni jirani nitakuhudumia. Nikasepa home, Muda naona bidhaa inaletwa na binti. Siku ya pili na kuendelea nikaona salamu...
  10. kidambinya

    Namna ya kuwahudumia wageni wako ili wasihamie nyumbani kwako jumla na ukashindwa kuwafukuza

    Nikiwa kama father house, ndugu wafuatao ndio nitawavumilia kwani hao ni damu halisi kwangu na Mke wangu: Mama na Baba Mzazi - Both wife and I Kaka / Dada wa baba / mama Mmoja - Both Hawa watu hata wakila chakula changu gunia Zima nafurahia maana ndio ndugu halisi ambao hata litokee watahusika...
  11. kidambinya

    Leo nimetafuna bikra, kumbe hazina maajabu

    Angalia usijekuta wewe ndio umetolewa bikra kwa kupatiwa HIV+ maana watoto wengi siku hizi wanazaliwa wakiwa HIV+. BAADA YA MUDA KAPIME NGOMA. BIKRA NI KAMA KULA NDOGO TU! KONDOM HAIHUSIKI
  12. kidambinya

    Malori ya mahindi yakwama mpakani, wamlilia Rais Samia

    Adui yako muombee njaa!
  13. kidambinya

    Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

    Umesahau pia road ya Liwale to Mahenge kisha unatoboa hadi Njombe kama ulivyoandika. Watu wa nyanda za juu kusini hawakupaswa kuzunguka Songea wala Dar kwenda Lindi, Masasi, Liwale au Mtwara na ndio itakuwa the best road kwani itafungua sana eneo Zima la Malinyi, Ifakara, Mahenge, Liwale na...
Back
Top Bottom