Haya mawazo na ndoto unazotunga kwa ustadi wa hali ya juu kama hivi ungetumia katika kutafuta pesa ungekuwa mbali sana ila kwa sababu unalala sebuleni kwa shemeji yako basi unaona maisha umesha yapatiaaaa, acha na Wamarekani wewe wale wako mbali pambana uivushe Tanzania yetu ili siku moja tuwe...
Unataja location uku umebana pua unafikiri kila mtu ni bahasha, toa sauti usikike sio kubana bana pua kama unambania bwana wako, nitakutia makofi mimi fala wee
Unatatizo la msongo wa mawazo na afya ya akili IQ yako iko below normal wahi kituo cha afya kilicho karibu kwa matibabu unaenda kutembea uchi kufikia kesho wahi sasa hacha kutype humu chukua hatua
Wewe una matatizo ya akili sio bure,ushauri wangu fika kituo chochote cha afya kilicho karibu nawe ufanyiwe matibabu Tanzania bado inakuitaji kwa maendeleo ya taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.