Recent content by kichwa ngumu jiwe

  1. kichwa ngumu jiwe

    SSRA, PPF, NSSF hawasomeki

    haya ni mazito sana mkuu..ngoja waje!!
  2. kichwa ngumu jiwe

    Msaada

    we si unaona sifa kusoma UD haya sasa kasome hilo likoz lako ukimaliza miaka yako 3 ya mateso bila bumu maana kwa hiyo koz hata uwe yatima umefiwa na ukoo wote huwez pata bumu...uki graduate jiandae kwa ujasiriamali maana kwa hiyo koz labda ukaajiriwe na gwajima kama shemasi wa ufufuo na uzima
  3. kichwa ngumu jiwe

    SUA NINI MNACHOFANYA?

    sua isikieni tu wajomba..waambieni madogo wakakaze sana pale tuliopita sua hatupatamani tena ni hayo tu
  4. kichwa ngumu jiwe

    Kwa heri mtandao wa Vodacom sasa nahamia kusiko julikana

    Baada ya gharama za vifurushi vilivyokuwa mkombozi kwangu..sasa naona sina namna zaidi kuukimbia mtandao huu pendwa maana kuna wakat najitutumua nakujiunga hivyo hivyo lakini jinsi unit zinavyokwisha ukweli inashangaza sana unakuta nanunua pindua pindua ya 2500tsh unit 1500 ila ukiongea dk 3 tu...
  5. kichwa ngumu jiwe

    Heslb majanga

    mkiendelea nahiki kihelehele mtakosa kabisa hilo bumu
  6. kichwa ngumu jiwe

    Kuna mwenye alama hizi amechaguliwa?

    wamepata chuo gani...tutakushikilia kwa ushahid zaid
  7. kichwa ngumu jiwe

    Wote ambao hawajachaguiliwa kwa awamu ya kwanza>>UDSM

    hapa ndipo wale wa bora chuo kuliko malengo watakapojitokeza n5akutupa karata zao..ushauri tu kama kuna slots ziko waz kwa koz ya ndoto zako katika vyuo vingine niheri uombe huko ususan kwa wale wanafunz wa arts maana coz nying zilizobak nizile ambazo bado uwanda wake nifinyu hapa nchini...
  8. kichwa ngumu jiwe

    ENYI VIJANA TEULE WA VYUO VIKUU SASA ELEKEZENI MAOMBI YENU HESLB KUNAKO MIKOPO

    mkuu hizo nitakwimu tu so ondoa shaka mambo yatakua mazuri tu.!
  9. kichwa ngumu jiwe

    ENYI VIJANA TEULE WA VYUO VIKUU SASA ELEKEZENI MAOMBI YENU HESLB KUNAKO MIKOPO

    mkuu zama zetu sio kama sasa mambo yamebadilika sana hususani katka taasis za kifedha za serikali unaweza chukua mfano tokea mwaka 2016 namna utolewaj wa mikopo kwa wanafunz wa elimu ya juu umekua ukifanyika utaona niwaz idad ya wanufaika wapya inashuka kulinganisha na bajeti inayopangwa ambayo...
  10. kichwa ngumu jiwe

    ENYI VIJANA TEULE WA VYUO VIKUU SASA ELEKEZENI MAOMBI YENU HESLB KUNAKO MIKOPO

    kwanza niwapongeze baadhi yenu vijana chipukizi ambao tayari mmekwisha kujua mustakabali wa wapi mtaenda kuendeleza elimu yenu ya juu na kwa wale ambao bado mnahangaika na code za tcu na harakat za second selection nawaambia ondoeni shaka nchi hii ni yetu sote nakila kijana atapata nafas...
  11. kichwa ngumu jiwe

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    imeshaanza mkuu..elimu ya tz ni vita Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom