Nakuomba ee mungu umpokee dada yetu apate pumziko. kwa upande wangu nasema watoto huiga kwa wazazi, watanzania wameiga hii tabia ya kuuana kama panya kutoka kwa viongoz wao, na kwa ushahid tu ni watu wangapi wameuliwa hadharan tena mchana?
naumiza kichwa kufikiri maajabu yaliyotokea kusini yaani mtwara na lindi, na kama ukawa watajipanga kuanzia leo kuhusu uchaguzi mwakani, 90% natoa mapinduzi halis yatatokea hilo halina ubishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.