Ushoga imekuwa kuchaka cha supporter wa madictator kujificha! Mashoga wako Tz na msitake kuegemea immoral issue moja mka ignore yale madai ya msingi. Hivi hamna aibu juzi mlikuwa nao (world bank) na press ya nguvu. Jana mchina ndiye rafiki wa kweli. Masikini mjinga hana msimamo. Na nyie wapiga...
Wapiga kura wamekuwa wakikiondoa chama cha mapinduzi madarakani ila kwa dhuluma hila na udhalimu mmekuwa mkidharau kura, kama baada ya dakika hujui kitakachotokea hiyo miaka ishirini umejuaje?. Mungu atupe uhai kwa watakaojaliwa ccm itaondoka madarakani kwa aibu kubwa!
Alimshinda wapi? Kama hatukumwaga damu kuusaka uhuru tulionao na kwa bahati mbaya umetwaliwa mikononi mwa watanzania na mkoloni mweusi, hatutamwaga damu kwa uchu wa mtu ambae tunajua Mungu akipenda baada miaka kumi hatakuwa kwenye uongozi. Hiyo ndio busara ya Lowassa aliyotumia. Haki ni kama...
Mngajua kesho yenu msingeandika haya. Hujawahi kuwa ccm kuliko Lowassa au sumaye wanaokula asilimia 80 ya mshahara wa majaliwa. Unakumbuka walivyoutenda upinzani? Leo wako wapi pamoja na ID yako fake unajifanya kushangilia ukatili unaofanywa na usiokuwa na tija yeyote. Kila unachokifanya kina...
Kweli ni layman.....hapa ndio utaona umuhimu wa Governor kuwa mchumi. pro. Luoga ni mbobezi wa tax law... huku BOT sio sehemu kwake. Anaweza. Kuongea chochote.
Mzalendo wa nnchi hii anabaki kuwa kambarage! Hamna cha mlugaluga wala nini! Anahangaika Tanzania itabaki kuwa ya watanzania.Maenddeleo ya nchi hii hayatapatikana kwa gharama za damu za watu ikiwa uhuru hatukumwaga damu.Kufurahia kifo cha mwenzio ili hali na wewe utakufa ni jambo la hovyo sana.
Akili ndogo, zote ni kazi za serikali na kazi yake ni kuisimamia serikali. Tulichagua serikali ya kiraia ni jambo la kufedhehesha kulitumia jeshi vinginevyo.Hakuchaguliwa na jeshi.Kiongozi wetu anatakiwa abadilike miyoyo ya watu ikijaa kutu, majeshi yake hayataweza.Kama anafikiri anatengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.