Recent content by Kichupa Steven

  1. Kichupa Steven

    Naomba ufafanuzi wa Sheria ya kazi na mahusiano Kazini

    Habari Kiongozi, Ilikuwa mapema mwaka 2014 ndg yangu aliajiliwa kama Mwalimu katika Halmashauri moja hapa nchini hata hivyo alifanya kazi kw muda wa miezi nane Pekee na kuamua kumwandikia Mkurugenzi wake wa Wakati huo Barua ya kusudi la Kuacha kazi lakini hakujibiwa Badala yake Mwaka 2015 June...
  2. Kichupa Steven

    Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Madaktari na timu ya Kupambana na Corona kutoka Kituo Cha Afya Tinde walitupima viwango vya Joto Abiria wote na Kisha Kujulisha Kamati ya Ufuatiliaji wa Corona ambapo walijadili kwa Muda Majira ya saa 1:15 Jioni Afisa mwenyewe mamlaka Alitoa Kibari Cha Kuendelea na Safari
  3. Kichupa Steven

    Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Negative na tumeruhusiwa safari inaendelea vema
  4. Kichupa Steven

    Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Sasa Bado tupo Kizuizini hatuna Msaada Twangojea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Hapa Tinde Ndani ya Basi la Bilo Sports
  5. Kichupa Steven

    Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Ni Ni Mmoja wa abiria Tangu saa 8 Mchana Hadi sasa 11:17 jioni Bado tumekwama Hapa Upimaji wa Joto umemalizika Tunangoja Maamuzi ya Wataalamu wa Afya Ni Hapa Tinde Dispensary ndani ya Basi la Bilo Sports
  6. Kichupa Steven

    Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa na Askari polisi kwa madai kuwa Moja wa abiria wake anahofiwa kuwa na Virusi vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakuna Abiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
  7. Kichupa Steven

    Ukipanda Chuki utaivuna Chuki

    UKIPANDA CHUKI, UTAIVUNA, UTAIZALISHA! MALKIA Mary I, alizaliwa Februari 18, 1516, alikufa Novemba 17, 1558. Huyu alikuwa Malkia wa England na Ireland kuanzia mwaka 1553 mpaka kifo chake. Ni mtoto wa Mfalme Henry VIII na Catherine wa Aragon. Malkia Mary alibatizwa jina la Mary wa Damu (Bloody...
  8. Kichupa Steven

    Masaada wa sheria za kazi Utumishi wa Umma

    Ndg naomba msaada kwa niaba ya jamaa yangu mwl aliyeacha kazi na kufanya shughuli binafsi lakini ahughulizake hazikwenda sawa na aliajiriwa Mara ya kwanza mwaka 2014 akaondoka mwaka 2015 kwa kuandika Barua ya kuacha kazi lakini mwaka 2019 aliomba ajira kwa tangazo la TAMISEMI akapangwa...
  9. Kichupa Steven

    Masaada wa sheria za kazi Utumishi wa Umma

    Habari viongozi Nahitaji mtaalamu wa sheria za kazi Kwa watumishi wa Umma kunasuala nahtaji Ushauri tafadhali Ni kwamba kijana mmoja alipata ajira ya serikalini mwaka 2014 akafanya kazi hadi April 2016 akaandika barua na kuacha kazi akaondoka kazini akafanya shughuli zake Mwaka 2019 akaomba...
Back
Top Bottom