Recent content by Kichuchunge

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Eti yule askari aliyemsukuma Lissu pale kizimbani alishayaaga mashindano

    Aliuawawa kwa kupigwa visu wakigombea mwanamke mitaa ya Ukonga.Anaitwa Elias Charles, babake ni mwalimu mstaafu mwenyeji wa Kiomboi Iramba mkoani Singida.Tumemzika juzi makaburi ya Kiomboi mjini.
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya CHADEMA kusambaratika, Demokrasia imesitawi na kushamiri vizuri zaidi tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu wa October 29, 2025

    Wana CCM like Gwajima wakikemea utekaji wanatishiwa maisha, wanafungiwa makanisa na kutishiwa kufutwa uanachama, akina Mpina wakikemea ufisadi wanapigwa chini, so hii picha imekaaje?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Naondoka Bungeni bila Mume wangu, Naondoka na Aibu na Mikopo ya kutisha

    Hata mimi nimeishamjua au niweke picha zake?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Naibu katibu mkuu TEC: Hata akija kiongozi kutoka wapi, hataruhusiwa kuzungumza wakati wa ibada

    Ukombizi wa Tanganyika unakaribia, hii "ndoa' ya DINi na SIASA inaelekeea kuvunjika, ingawa mama sasa anakimbilia kwa machifu wa kimila. Ameona aurejeshe uchifu wa makabila ambao Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliukataa ili kuondoa viashiria vyote vya kuvunja umoja wa taifa tokea mwanzo...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Simba inajiita ya mafanikio Afrika mbona humu haimo?

    Kuuliza si ujinga
  6. K

    JamiiForums Tanzania Simba inajiita ya mafanikio Afrika mbona humu haimo?

    2025: Pyramids FC 2024: Al Ahly 2023: Al Ahly 2022: Wydad Casablanca 2021: Al Ahly 2020: Al Ahly 2019: Esperance de Tunis 2018: Esperance de Tunis 2017: Wydad Casablanca 2016: Mamelodi Sundowns 2015: TP Mazembe 2014: ES Setif 2013: Al Ahly 2012: Al Ahly 2011: Esperance de Tunis...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mfalme yuko uchi, hii hadithi ina funzo kwetu

    Kwa siasa za sasa hivi jinsi zilivyo za kusifu na kuabudu, zinafanana na hadithi fulani ya Kidenmark inayozungumzia mfalme mmoja aliyependa sana kusifiwa na watu wake, huku akishindwa kujua kuwa sifa zile zilikuwa zikizidi kumfanya mpumbavu bila yeye kujijua. Lakini siku moja mtoto mmoja mdogo...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kifuatacho hadi mahubiri ya kanisa yatakuwa yanahaririwa

    Ameandika Baba Askofu =AZWrmXhK1_pFvd1TZDgMO7L6eJxTPapJZ1twYFezpONs6-gTBhsboTdtxMKmX-Piojg1EHDc2NrFJssXTd0-1Ff83CtOTZlZOd4TqMHkOU7ugQbudPmJcCSqKiLOrlY8Lxe5uL13Unkr6Vj_aTAlACbU&tn=-]K-R']Kalikawe Lwakalinda Bagonza KAMA NI KWELI: Inaweza kumaanisha hivi.. Eti Kanisa Limefungwa au kufutiwa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania CAF yafunguka sababu za kuipeleka Simba Zanzibar

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeeleza sababu za kuupeleka mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane ya Morocco, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, mjini Zanzibar. Wakati vigogo hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara wakiwa tayari wameanza kujipanga...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Magori apinga uamuzi wa CAF kuhamisha fainali ya Simba vs Berkane Zanzibar, ataja hatari ya vurugu

    Hivi Magori leo ndio anaona kuwa ni hasara kuwakatisha watu tiketi 12,000 Halafu mechi isichezwe? Amesahau Machi 8 kuna watu walikula hasara si ya tiketi tu bali usafiri kutoka mikoani na nje ya nchi na pia gharama za kulala hoteli halafu Simba wakakimbiza timu kwa sababu za kijinga tu na mechi...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Heh! Kumbe Berkane walishafanya booking ya hoteli Zanzibar mapemaa

    Klabu ya Rs Berkane tayari imeshafanya maandalizi ya sehemu ya kufikia ( Hotel ) huko Zanzibar mapema tu siku chache nyuma ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wa marudiano fainali kombe la shirikisho dhidi ya Simba, jambo la kushangaza ni kwamba Berkane walishajua ni wapi fainali ya...
  12. K

    JamiiForums Tanzania CAF yaamuru mechi ya fainali Simba Vs Berkane ichezwe New Amaan, Zanzibar Mei 25, 2025

    Kumbuka kwamba hii ni mechi ya fainali kombe uwanjani. CAF wanachosema wanahofia mambo mawili; kwanza ni hali ya hewa isiyotabirika kwa sasa ya jiji la Dar es Salaam, ambapo mvua zinanyesha nyesha bila utaratibu na pili ni kuhusu kuhofia yale yaliyotokea katika mechidhidi ya Al Masry, uwanja...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Uangalie muundo wa Tume Huru ya Uchaguzi halafu tafakari mwenyewe

    INEC | Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele Mwenyekiti na Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk Makamu Mwenyekiti na Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina A. Omari Mjumbe wa Tume Mhe. Balozi Omar Ramadhani Mapuri Mjumbe wa Tume...
Back
Top Bottom