Recent content by KICHINJIO11

  1. K

    Msuya: Nashangaa, hivi Sumaye anafikiri!

    Mwandishi anauliza maswali ambayo mrengo wake ni wa kuponda upande mmoja.
  2. K

    Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

    Swali langu kwa Dr. Slaa ni hili. Katika maelezo yake amesema hataki Taifa lipate kiongozi mbovu na ambae sio muadilifu. Sasa kwa wagombea wote walio katika mchakato huu ni Lowasa tu ndio mwenye shutuma za Rushwa na Ufisadi? Vp kuhusu yale mengine yanayosemwa ya uuzaji wa nyumba za serikali...
  3. K

    Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

    Swali langu kwa Dr. Slaa ni hili. Katika maelezo yake amesema hataki Taifa lipate kiongozi mbovu na ambae sio muadilifu. Sasa kwa wagombea wote walio katika mchakato huu ni Lowasa tu ndio mwenye shutuma za Rushwa na Ufisadi? Vp kuhusu yale mengine yanayosemwa ya uuzaji wa nyumba za serikali...
  4. K

    Channel 10, EATV, ITV na Star TV mnatumiwa na CCM vibaya sana

    Kigwangala alitawala kipindi chote na yule Muhadhir alikua anacheka na kutabasamu tu. Hakuwa na strong points za kuweka usawa wa yale maropkaji ya Dk. HAMIS
  5. K

    Channel 10, EATV, ITV na Star TV mnatumiwa na CCM vibaya sana

    Sio kweli mkuu! yule bwana uwezo wake ulikua ni mdogo sana pamoja na kwamba ni muhadhir wa UDSM,ilifika mahala anamuuliza Dk Kigwangala kuhusiana na jambo ambalo yeye alitakiwa atoe ufafanuzi! Why hawaiti watu wenye uwezo mkubwa kwa upande wa upinzani??
  6. K

    Wasanii kumuunga mkono Magufuli

    Hawawez kupima upepo cz wanaburuzwa na baadhi yao nzala inawaumiza! so wanaona bora wajitoe fahamu kushabikia ujinga. Wameshasahau masuala yao ya hakimiliki kwa kaz zao za sanaa na ni serikali hii ndo imeshindwa kufanya hvyo kwa 50yrs. Wangese sana.
  7. K

    Wasanii kumuunga mkono Magufuli

    Kwakweli Brother nimekuelewa sana. Inasikitisha zaid kuona hata waandishi nao wananuliwa, wanaharakati wananuliwa kila engo inanuka Rushwa. Kujipendekeza kwa mabwana wakubwa ndo imekuwa fasheni. Uozo mtupu.
  8. K

    Star TV: Simon Simalenga anachambua siasa kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2015

    Ninachokumbuka huyu kijana alikua Bongo movie ! Nadhani kule kunamfaa zaid. Siasa haziwez. Lkn ndo muonekano wa wale vijana wote wa pale mawinguni, njaa mbaya sana
  9. K

    CHADEMA Tanga wamuunga mkono Slaa

    Hatutaki! peleka kule mambo ya umbea umbea kama huu. Alipo Tupo-Lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
  10. K

    Rais Kikwete na waziri Magufuli katika mazishi ya diwani wa kata ya Yombo, Bagamoyo

    haha ahaha haha aha haa aaha h Mkuu Tea bAG UMENICHEKESHA SANAA hahaa haha
  11. K

    Taarifa ya jeshi la polisi mkoa wa Mbeya kwa vyombo vya habari tarehe 18.08.2015

    Polisi bhana! wanawaza kwa kutumia masaburi
  12. K

    Wito: Waandishi wa habari wa TBC wasiwemo kwenye misafara ya UKAWA-hawatoi habari za UKAWA

    Ni kweli Mkuu! Kuna ndugu yangu ni fundi mitambo pale TBCCM,huwa tunaangalia taarifa za habari za ITV ama AZAM. Hata wao wenyewe wanajua wanaboaaaaaaaaaaaaaaaaa
  13. K

    Tofauti kati ya Mrema na Lowassa kwenye ugombea urais

    Mkuu uchambuzi mzuri! Point zote tatu ni murua kabisa. chukua like
  14. K

    Mdahalo ITV: Umuhimu wa Maadili katika kuimarisha Amani, Umoja na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Mkuu it makes no difference ila Huyu bwana so called Polepole ANAKERA mnooooooo!! yani anachefua na anasambaza sumu kwa wasiojielewa kama yeye. Nahis wadudu wameanza kutafuna kichwa chake.
  15. K

    Prof. Kitila Mkumbo aombwa kugombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo

    sio kituo cha polisi, katika geti la ikulu kabisaaa.
Back
Top Bottom