Recent content by Kichangan

  1. K

    Marais watatu Nchi moja imeonekana wapi ?

    Je nchi moja rais wawili nayo umeona unaweza kunitajia ulishindwa nipigie 0777462900
  2. K

    Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

    Magurudumu una,akili kidogo hakuna sbb yakulazimisha znz,tuww ktk muungano nikweli hatuutaki muungano wa kile cheti cha ndoa,kuomba dodoma twataka nchi yetu ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA(ccm) BAADAE
  3. K

    Katiba Mpya na Serikali Tatu: Warioba amvaa Gharib Bilal kwenye kikao, hali yachafuka...

    Km mnataka maendeleo nilazma ccm iondolewe madarakani kwani wao wanajifanya wanamiliki hii nchi,wanasubutu kuondoa maoni ya wananchi walio wengi ati sera y a chama kwa maana km sera yao siyakuleta maendeleo ht yakitaka kuletw watayazuiqa
  4. K

    Hatimaye aliyeua wananchi 9 Tarime anaswa, afariki ghafla kwa pumu!

    Aishapew adhab itakuwa ni zamu ya mkapa nae apewe adhab yakupelekw thehegi kw kuuwa kw kusudi ktk maandamano ya kudai haki yao waznz kule pemba
  5. K

    Mpaka wa Zanzibar na Tanganyika hauna utata-Ramani ipo-aliipokea Rais Aboud Jumbe

    Kwanin Watanganyika mnakuwa mnanyanyasika kuhusu znz ambayo ukiilinganisha na Tanganyika ni wikama wilaya moja tu,ebu tuweni roho
  6. K

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    Waznz ndo hawautak muungano na ndio wakataka mkataba zaid ya 60% ili wakieka mkataba wa miaka 5 ukimalizika kabla kurinyuu inapigw kura ya maoni turenyuu mkataba au bas kam hujui hapo ndipo wanapotaka waznz km unakunyw matapitapi hufikirii mbele,watanganyika hawautaki ila je kadinali...
  7. K

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    Ebu nambie muungano ukivunjik tatizo nini nikipi kunachowapa hofu watanganyika kuhofia kuvunjika kw muungano,muungano ukivunjik faida kwenu kam mtawaruhusu wazenji waishi watalipia PAMITI,kodi watalipia km wageni kw hivyo kod itaongezeka,kazi itabid waache ajira zitaongezeka,elimu watalipia km...
  8. K

    Benki Kuu yatoa sarafu yenye thamani ya shilingi 50,000 kuenzi Mapinduzi ya Zanzibar!

    Musiwarambe vichogo waznz,labda mnasherehekea miaka50 ya luidhibiti zanzibar kwanin sijawah ht ck moja gavana kutoka znz sijawah kusilia znz imepewa salio
  9. K

    Mzanzibari: Hayo magari 90 toka China si wangetupa hata ma5? Ndiyo maana tunataka serikali 3

    Na tuuvunje tu tuangalie km hao waznz hawatasoma kw umemw wa bure nahizo ajira
  10. K

    Zanzibar "Mkataba 66"

    Sikweli mim kichangan nipo bara na nipo vizuri alhamdulilah,wtt wangu wanasoma almuntazir,namiliki nyumba mbili tena moj ilo barabarani daladala zinapita nanna maduka
  11. K

    Zanzibar "Mkataba 66"

    Tumechoshwa na nyinyi hatuutaki muungano tupeni wa mkataba ukimaliza tu kila mti nabao yake tumechoshw kutawaliwa na mloni muafrika
  12. K

    Mapinduzi ya Zanzibar - Januari 12, 1964

    Wambie kakke ila hiyo sio historia ya mapinduzi okelo hajapindua aliepindua ni ZPPP na Nyerere hawo wengine ni washirikishwaj tu
  13. K

    Tiba/Dawa kwa mtoto au mtu kikojozi

    Mpigie huyu mwambie kanambia salum nassor unadawa ya kukojoa ya mtt atakupa uombe mungu 0773437007
  14. K

    Absalom Kibanda: Magufuli anasifiwa Tanzania wakati hana lolote

    Sometime huwa mnanifos kujib mijadala,Watanganyika mko nyuma sana leo mtasheherekea mwaka mpya mnapamba sehemu kibao shamra shamra kibao HAMNA HABAR UMEME UNAPANDA WAKAT MNASHEHEREKEA MWAK ATI MPYA KUMBE UMEME WAPANDA NA KILA KITU CHAPANDA WATANGA NA NYIKA NYIBADO NA NDIO MAGUFULI MWAMUONA AT...
  15. K

    Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

    Barua haikuandikw sbb kiti cha Tanganyika kilikuwa na deni wakat cha ZnZ kilikishalipiwa miaka zaid mbele hivo ikaamulika kitumike cha ZnZ dairekt
Back
Top Bottom