Recent content by Kichale

  1. K

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Hivi Cybercrime bill haijaanza kufanya kazi?! Umeshuhudia waapi akipokea hiyo 10B?? Acha uzwazwa wewe
  2. K

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Ndioo Lowassa homa ya Jiji. Kama ni kweli historia iliyoandikwa inatimia..upinzani wA kweli utatoka ndani ya CCM
  3. K

    Ukimya wa Lowassa wakitia homa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Baada ya mchakato mzima wa Chama Cha Mapinduzi kumtafuta mgombea wake wa urais kwa mwaka 2015 kumalizika, huku ukigubwika na sintofahamu nyingi kutokana na rafu za waziwazi kuchezeka kwa moja ya mgombea wake ambaye ni Mhe Edward Lowassa bado ameendelea kuwa kimya na kutosema chochote na kuzidi...
  4. K

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    Waziri mkuu wa zamani Mhe. Edward Ngoyai Lowassa amelitikisa Bunge baada ya Rais Jakaya Kikwete kumpongeza kwa kazi nzuri alioifanya kwa kipindi cha miaka miwili wakati akiwa Waziri mkuu. Mara baada ya Lowassa kutajwa ukumbi mzima wa Bunge ulilipuka kwa shangwe, nderemo na vifijo hali...
  5. K

    Kikao cha Kamati ya Maadili CCM chaanza usiku wa leo (Julai 03, 2015)

    Lowassa, nI sawa na Joshua katika Biblia.
  6. K

    Wapinzani wa Lowassa wahaha na kutumia 4U fake kumchafua

    Ndio akili yako ilipoishia, poor you.
  7. K

    Tafakuri yakinifu kuhusu wagombea Urais 2015

    *Tuwapime Wagombea Kwa Utashi Wao Kisiasa Katika Mawanda Mapana Ya Kutangaza Kwao Nia, Kuchukua Fomu Na Kutafuta Udhamini BERNARD KAMILLIUS MEMBE Membe sio Mwanasiasa mzuri na hana muda mrefu wa utumishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi kadi yake Ya kwanza ya CCM ameipata Mwaka 2003 jambo ambalo...
  8. K

    Samwel Sitta aanikwa uovu wake

    Kutana na Sitta Samuel anayekengeuka! Samuel Sitta sasa kakengeuka! Hii ndiyo lugha rahisi unayoweza kutumia. Awali nilidhani kuwa anachanganyikiwa kutokana na madaraka mapya ambayo yanaambatana na ulaji mkubwa lakini hapana! Sitta si mgeni katika kupata madaraka na haijawahi kuonekana...
  9. K

    Sitta ajiundia mtandao kumpigia kura fake

    Urais hauji kwa kura za mitandaoni, so naive..hata afoji vipi...kweli binadMu hatuna shukrani huyuhuyu aliemzawadia uwaziri leo hii anamkashifu.
  10. K

    Gaidi wa kitanzania aliyekamatwa nchini Kenya ahojiwa

    BREAKING NEWS Mtanzania mmoja ambaye alikamatwa kuhusiana na shambulio la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa, Kenya (jina linahifadhiwa) ahojiwa. Taarifa zilizopatikana juzi usiku na kutangazwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), zilieleza kuwa Mtanzania huyo alihojiwa kuwapo...
  11. K

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Katika hali isiyo ya kawaida kikundi kinachojiita 4u Movement Marafiki wa Edward Lowassa kimeingia katika Mvutano Mkubwa haswa katika kugawana Fedha wanazowachangisha Wanachama wao. Kasumba hilo lililojiri baada ya Moja Kati ya Watendaji wao Mkoa Maarufu sana kubwabwaja kwenye Kambi Fulani na...
  12. K

    Maswali kwa bashe dhidi ya mgombea wake.

    SWALI Nicodemad Tambo (kimeta wa mpui ); 1. HAUONI KAMA MGOMBEA MNAYEMNADI NA MARAFIKI ZAKE WANA TASWIRA YA UFISADI..? JIBU HUSEIN BASHE: Kwanza nianze na UFISADI, Taswira ya Ufisadi ni taswira ya CCM whether ina ukweli ama haina imeishakuwa Taswira ya chama kizima,kila kiongozi wa chama...
  13. K

    Diamond apata mshtuko deni la mil.800 (TRA WAIKANA BARUA)

    Diamond kudaiwa kodi ya mapato, Lowassa ahusishwa. Hali ya taharuki iliyozuka hivi karibuni baada ya meneja wa msanii wa muziki wa kizazi kipya kuandikiwa barua na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ikimtaka kuwasilisha kopi ya mkataba ya kazi ya Nasseeb Abdul pamoja na maelezo yanayoonyesha...
  14. K

    Diamond apata mshtuko deni la mil.800 (TRA WAIKANA BARUA)

    Hali ya taharuki iliyozuka hivi karibuni baada ya meneja wa msanii wa muziki wa kizazi kipya kuandikiwa barua na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ikimtaka kuwasilisha kopi ya mkataba ya kazi ya Nasseeb Abdul pamoja na maelezo yanayoonyesha malipo ya diamond platnumz katika kazi yake ya muziki...
Back
Top Bottom