Recent content by Kibukila

  1. K

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wasiliana nao wakubadilishie uende kwenye vifurushi vipya utapata 60Mbps kwa 55k
  2. K

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni kweli huduma ya E-sim waliisitisha kwa muda watatujulisha baadae ikianza tena.
  3. K

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    30 ila zote unashare kwa line mbili na dak 700 unawekewa.
  4. K

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimebadilisha post paid kwenda T-Fiber Trible Hub kwa kweli speed yake inaridhisha sana 150Mbps kwa laki 1.
  5. K

    Sipati 5G ya Halotel kwenye Simu yangu kwenu ikoje?

    Hapa Kasulu 5G inapanda vizuri tatizo haiko stable kuna muda inarudi 4G.Wameweka kwenye minara michache sana.
  6. K

    Ushauri wa simu nzuri kwa bajeti ya shilingi milioni moja

    Asante sana mkuu.Nimejaribu kuwasiliana na Samsung lakini hawanipi majibu.Ni simu original kabisa sikununua za mtumba.
  7. K

    Ushauri wa simu nzuri kwa bajeti ya shilingi milioni moja

    Nina S21 FE nilinunua 2022 sasa hivi ina mistari miwili katikati sijui inasababishwa na nini kwa sababu hata sikuidondosha ilitokea tu.
  8. K

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    YAS 5G kifurushi cha 70K data cap ni kiasi gani.
  9. K

    Simu za Galaxy A23 zimeanza kupokea mfumo mpya wa One Ui 7, umefanya updates?

    Hii maana yake ni Fan Edition haya ni matoleo maalum kwa wale wapenzi wa Samsung ila hawataki kutumia hela nyingi kununua simu zenye specs kubwa kama S21 ya kwaida.Unaweza kukuta tofauti ya bei ni kama mil 1 na specs zinafanana kidogo.
  10. K

    Simu za Galaxy A23 zimeanza kupokea mfumo mpya wa One Ui 7, umefanya updates?

    Hata mimi nimeweza kupata update ya Samsung S21 FE na Samsung A55.
  11. K

    Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

    Halotel ya kawaida inayopiga na kutuma sms.
  12. K

    Endapo kuna mtu anabuni kitu hiki atapiga sana pesa

    Sio lazima kwa wakala kama una line nyingine ya kawaida unanunua data bundle kwa kutumia menu ya mnunulie mwingine inakubali vizuri tu.
  13. K

    Jinsi Akili Mnemba(AI) inavyofanya kazi

    Ni kweli kwa lugha ya Kiswahili iko vizuri sana.Ina hata uwezo wa kuandika program za kompyuta kwa Kiswahili.
  14. K

    Jinsi Akili Mnemba(AI) inavyofanya kazi

    Asante kwa elimu nzuri namna hii.Ufanisi wake ni mkubwa sana nimeijaribu kwa mambo mengi naona inaleta majibu tarajiwa.
  15. K

    Matumizi ya ChatGPT na poe kulemaza akili

    Hata zamani walipinga ujio wa Calculators lakini sasa hivi nani hatumii calculator.
Back
Top Bottom