Recent content by Kibukila

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Router ya Voda imeandikwa 5G, panel yake inasoma 4G

    Hiyo device ni 4G tu si unaona imeandikwa LTE Cat4
  2. K

    JamiiForums Tanzania Je dekoda ya antena kampun ya azama itafanya kaz nikiweka dishi?

    Haitafanya kazi maana dekoda ya antenna inatumia mfumo tofauti na dekoda ya dish. Inabidi ununue dekoda ya dish ufunge na dish lake kuendelea kupata huduma.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa AI, hivi dunia iko salama kweli, mbona kama nahisi yatatokea ya Teminator movie na kutumaliza....NAOGOPA!!!!

    Hata ujio wa calculator zamani uliibua hofu ya kutosha.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wasiliana na TTCL ukifungiwa fiber na hii inakuwepo.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Aisee GB 200 per day.Hivi haina data caps unaweza tumia kiasi chochote cha GB kwa siku?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni kweli haiongezi speed ys ISP lakini mfano kifurushi cha laki moja unapata 150mbps sasa kama una band moja ya 2.4Ghz utaishia kupata 80mbps haiwezi kuvuka hapo ndo umuhimu wa 5ghz unapokuwepo.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hii ni kweli pia ukiwezesha band ya 5Ghz unapata speed nzuri zaidi hasa wenye kifurushi cha kuanzia laki moja.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hii ni kwa sababu watumiaji wengi hawawezi kufanya configuration za router wakiweka wazi unaweza kuta mtu anabadili settings na huduma inasitishwa halafu inakuwa ni gharama kuweza kumtafuta fundi airekebishe.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wasiliana nao wakubadilishie uende kwenye vifurushi vipya utapata 60Mbps kwa 55k
  10. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni kweli huduma ya E-sim waliisitisha kwa muda watatujulisha baadae ikianza tena.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    30 ila zote unashare kwa line mbili na dak 700 unawekewa.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimebadilisha post paid kwenda T-Fiber Trible Hub kwa kweli speed yake inaridhisha sana 150Mbps kwa laki 1.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Sipati 5G ya Halotel kwenye Simu yangu kwenu ikoje?

    Hapa Kasulu 5G inapanda vizuri tatizo haiko stable kuna muda inarudi 4G.Wameweka kwenye minara michache sana.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa simu nzuri kwa bajeti ya shilingi milioni moja

    Asante sana mkuu.Nimejaribu kuwasiliana na Samsung lakini hawanipi majibu.Ni simu original kabisa sikununua za mtumba.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa simu nzuri kwa bajeti ya shilingi milioni moja

    Nina S21 FE nilinunua 2022 sasa hivi ina mistari miwili katikati sijui inasababishwa na nini kwa sababu hata sikuidondosha ilitokea tu.
Back
Top Bottom