Kwa nini asingefanya maridhiano kabla ya uchaguzi Mkuu?
Ni dhahiri amegundua kuwa bila maridhiano atakuwa na kipindi kigumu sana cha kutawala na kuongoza nchi
Tutarajie mambo mapya kutoka kwa watu walewale wa chama kilekile?
Sijawahi kuiamini ccm na sitakaa niamini wahuni wanaoogopa sanduku la kura katika kutupatia viongozi tunaowataka
Hii Nchi inahitaji ukombozi mwingine tukiacha ule tuliopata kutoka klwa Mzungu,
Wananchi tunaona dhuluma na uonevu lakini tunaishia kulalamika tu bila kuchukua hatua yoyote,
Vyama vya upinzani vinafurahia kuiona chadema kwenye mkwamo wa kisiasa na wao wanaichukua kama fursa ya kukwea...
Ndugai hakuwa masikini
Kuna yatima wengi sana wa kusaidia wapate Elimu,chakula na makazi
Tuanze na hao kwanza,
Nahisi hata pensheni ya Usspika alikuwa hajaigusa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.