Nendeni Hosp! Mkacheki afya ya uzazi.
Kutumia uzaz wa mpango ni nidham ya woga kwa wanandoa wachanga, kama ni mkeo ndiye alikushaur upige hyo sindano ya mpango. Bado nawaza inawezekana bado hajaamua kuzaa kwa wakat huu. Uwe mdadisi wakat mwingine usichukulie mambo juu juu.
Watu wa aina yako hata wakishauliwa hawabadiriki, unafanya maamuzi kwa kutumia moyo na sio akil umeshapenda ww ! Mpenda boga ........ Oa tu mshenga si yupo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.