Mbunge anakuwa mwakilishi wa hisia za watu.akikengeuka hisia za walio mtuma na yeye anakuwa anakuwa mpinzani wao.hisia hazinunuliwa.kumbadili mbunge au diwani hisia zake haimaanishi umebadilisha hisia za wapiga kura.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.