Recent content by Kibosha

  1. K

    Nini hatma ya miradi ya Chato?

    Kwa ninayoyaona hapa chato tunaitaji katiba mpya haraka iwezekanavyo
  2. K

    TRA Arusha wanahujumu mapato ya Serikali

    0800780078 hyo no kma kuna mtu alishawai piga na ikapokelewa naomba anyoshe mkono juu kiufupi nikichefuchefu
  3. K

    Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

    Kiongozi chukuwa pepsi baridi hapo ntalipa umeongea ukweli mchungu
  4. K

    Uchumi wa viwanda si mchezo, mpaka chekechea zinabidi zisajiliwe

    Tubadilike watanzania maisha bila utaratibu ndio hvyo kila siku lawama tunaitupia serikali kma nikulipa kodi tulipe jambo linaloitaji kibali akikisha unacho hapo ndipo tutaona mabadiliko yakwel sio kulalamika tu
  5. K

    Siri ya Marekani kuingilia uchaguzi mkuu Tanzania

    Umeongea point nzito mpka mwili wngu umesisimika
Back
Top Bottom