Recent content by kibhojela

  1. kibhojela

    Wadau wahoji uhalali wa Daraja la Tanzanite kuwa bure huku la Kigamboni likiwekewa Tozo

    Duu we jamaa bora baba yako angepiga puchu kuliko bao lilozaa zombi wewe
  2. kibhojela

    Wafanyabiashara Arusha wafunga maduka kwa muda usiojulikana

    Kwani ccm yenu inasemaje?
  3. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Nilienda Jumatatu kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge. Lakini nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na badaye akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawezi kurudi Nyumbani kwani anaona aibu kwa kumshitaki mume...
  4. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Ilikuwa Ni namna ya kumuondoa kwa kuwa walikuwa hawana hakika amani imekaaje so wakatumia kigezo kuwa tukamuuguze ndugu,Nilikuwa tu namuonesha kuwa Mimi Ni mume kwa jinsi nilivo ningempiga yule angekifa
  5. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Tatizo hujaelewa, Mimi ndo niliumia zaidi lakini kwakuwa nayeye nilimpa tuvibao kidogo nikaona ili kumjali nikampeleka hospitali na huko akapewa dawa za kutuliza maumivu tu,
  6. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Nilipigwa na ubao kichwani nikiwa nimetulia nachat nilishonwa
  7. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama
  8. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Hapana Ni mwanamke anamiliki K kabisa!
  9. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Noted,ndo najiandaa j3 niende na wadhamini kabisaa
  10. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nawe umeleta utani kazini Tena[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom