Hatuna tenah! Mwenyekiti bali ni zimwi la siasa limeivamia simba sport! Sasa kama amemuuza okwi je huko tunisia alienda na shahidi gan? Au wanasheria gan? Ambao waliwezwa kushirikishwa? Kwasababu biashara ile ni ya hela nyingi!! So i do know what happened next period? Inatisha kwa kweli...
Kiufupi ni kwamba habar za siri zilofichika ni kwamba ccm imejiaandaa kutengua baadhi ya vipengele kwenye katiba mpya. Ili ccm ipate mwanya wa madaraka kwenye mfumo wa kuendelea kumchagua kamishna wa uchaguzi nchini!! Kwa kipengele hcho wadau tuwe makini kupambana na kutetea kipengele hicho ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.