Muache mtu aseme alichofanyiwa unakataa nni ssa we mama? Jamaa ndio tabia yao njaa njaa tu wanaombaomba sn hata kituo kikuu pale nyamagana ilishawahi nitokea unatetea nn ssa
Just imagine wwe ndio ungekuwa huyo mkuu wa mkoa ungekubali kuwajibishwa? hapo msala wote anaubeba dereva kosa kubwa alilofanya ni kuacha ufunguo kwenye gari je lingeibiwa? huo ni uzembe wa hali ya juu
Hapo unaposema mtu akishakufa hata kama ni ndugu yako unaanza kumkinai,kumkataa as if ni kitu cha kinyaa sana ni uongo binadam uwa apati kinyaa kwa maiti asilani bali hofu kwa baadhi ya watu kwan maiti uogofya
Habari yako umeiandika kishabiki sana mtu awezi leta mamlaka kwenye mali za watu hizo pesa ndefu ni zake dawa ya mtu kama huyo ni kumshitaki atakuja tolewa vyombo mchana kweupe udiwani ndio nni kwani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.