Habari zenu wana JF,
Ningependa kufahamu kwamba ni vitu gani vinahitajika ili kufungua kiwanda kidogo cha mikate (BAKERY), Hii namaanisha vifaa vinavyotakiwa ili uzalishaji uanze.
Sometimes mkumbo unaweza ukawa mzuri kuliko knowledge! Acha watu wajaribu wanachokitaka maana wote hao wanaomsapoti jamaa hawawezi kuwa wajinga lazima kuna kitu wameona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.