Recent content by KIBANGALA.COM

  1. K

    Mifuko ya bidhaa

    Asante sana.
  2. K

    Mifuko ya bidhaa

    Michache tu kama ya sample! Je inawezekana?
  3. K

    Mifuko ya bidhaa

    Jamani anayejua inakotengenezwa mifuko ya kuwekea unga anijuze.mfano kwenye picha.
  4. K

    Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

    Habari zenu wana JF, Ningependa kufahamu kwamba ni vitu gani vinahitajika ili kufungua kiwanda kidogo cha mikate (BAKERY), Hii namaanisha vifaa vinavyotakiwa ili uzalishaji uanze.
  5. K

    Mama Lishe na Bodaboda Sumu haionjwi tumuogope Lowassa kama Ukoma

    Kwahyo una sajesti kwamba ccm waendelee milele daima au una maana gani?
  6. K

    Kukubalika kwa Lowassa: Pesa, Ujinga, Upumbavu au kuichukia CCM?

    Sometimes mkumbo unaweza ukawa mzuri kuliko knowledge! Acha watu wajaribu wanachokitaka maana wote hao wanaomsapoti jamaa hawawezi kuwa wajinga lazima kuna kitu wameona
  7. K

    Kinondoni talent search inaoneshwa Star TV

    Labda coz waandaji ni wanasiasa
  8. K

    Utabiri wa atakayekuwa rais mpya wa TZ huu hapa

    Kwani jamaa anaongelea nini maana cjamwelewa kabisa
Back
Top Bottom