Recent content by Kibanda

  1. Kibanda

    Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi, Wakuu wa Mikoa, Makatibu & Manaibu Katibu: Wamo Mnyeti, Mangu, Kashilila..

    Nimeshtushwa na uteuzi wa Kashillilah kuwa Naibu Katibu Mkuu - Kilimo. Ni kama vile anaadhibiwa kwa kosa au makosa yasiyo bayana...
  2. Kibanda

    Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

    We are beyond 'Team Lowassa'. Tunatafuta Rais wa Tano wa Tanzania, mwenye sifa na uwezo wa kutuondoa katika mkwamo tuliomo sasa. Tunachelea kujadili watu kwa sasa, bado tunaendelea kutafuta sifa za mgombea urais mwenye sifa stahiki badala ya wanasiasa wa kuchongwa. Kosa letu kubwa ni kukataa...
  3. Kibanda

    Kibanda: Hii serikali ni ya Kidikteta, nipo tayari kwa lolote

    Akutukanaye hakuchagulii tusi. Kama kuna jambo ambalo polisi na serikali ingefurahia sana kulitenda na kulifanya basi lisingelikuwa jingine bali kumkamata na kumfikisha mbele ya vyombo vya sheria mwanaume aliyechukua sheria mkononi na kuniumiza kwa kiwango hiki eti kwa sababu miye kumchukulia...
  4. Kibanda

    Kibanda: Hii serikali ni ya Kidikteta, nipo tayari kwa lolote

    My God hata wewe unaniona leo nimekuwa majanga kaka! Ama kweli kikulacho
  5. Kibanda

    Kibanda: Hii serikali ni ya Kidikteta, nipo tayari kwa lolote

    Watu wengine wazushi na wa hovyo sana. Lini niliishukuru serikali wakati haikunitibu? Mtu uliye tayari kumuwekea mtu maneno mdomoni utashindwa kubuni uongo mwingine wowote? Watanzania wenzangu ni watu wa ajabu sana. Miye ndiye niliyeteswa na watu nisiowajua. Sikupata kupata kitisho chochote...
  6. Kibanda

    Nimefurahi serikali kuyafungia magazeti ya Mtanzania na Mwananchi

    Heri miye nimepata fursa ya jicho la kondoo. Yanayokuja kwako yatasababisha ubakie jina. Utakuwa kielelezo halisi cha matokeo ya fikra za kikatili na kiuaji ulizonazo. Saa yako yaja
  7. Kibanda

    Mbunge wa jimbo la Rungwe Magharibi, Prof. David Mwakyusa pamoja na CCM presha juu

    Natangaza rasmi kuchukua fomu na kugombea ubunge Rungwe Magharibi 2015. Nimechoshwz na usultani ambao umeshindwa kuleta tija. Oscar Mwambene tangulia kaka na mimi nakuja nyuma yako..
  8. Kibanda

    Nimeanza kazi New Habari Corporation jana, nikatambulishwa leo

    Hebu toa ushahidi wa maandishi yangu ambayo yalipata kumchafua mtu yeyote. Au kwako wewe ukiandika kwa kukosoa basi unaonekana umemchafua mtu?
  9. Kibanda

    Nimeanza kazi New Habari Corporation jana, nikatambulishwa leo

    Kaka niko tayari kuwa interviewed wakati wowote.
  10. Kibanda

    Nimeanza kazi New Habari Corporation jana, nikatambulishwa leo

    Wana jamvi Yamesemwa mengi mema na mabaya kuhusu mimi Absalom Kibanda. Wengine tena wana habari na wakiwamo wahariri wenzangu, wakitumia kivuli cha majina bandia wakafikia hata hatua ya kutoa matusi ya wazi na kebehi juu yangu. Ni kweli nimeondoka Free Media Ltd na kujiunga na New Habari...
  11. Kibanda

    Absalom Kibanda aaga rasmi Tanzania Daima

    How could we allow jokers to think big? Mark my words im not a sell out. I have made the un expected, I sincerely know what I do and think. Those who think that Chadema is a movement and not a political party are doing a silly mistake. I salute change, I believe in change, I will...
  12. Kibanda

    Kibanda kuwa Managing Editor wa New Habari kuanzia Disemba 1, 2012

    Nimemtetea Lowassa katika suala moja tu la Richmond na Dowans na bado naendelea kumtetea katika hilo. Uamuzi wa mahakama kuhusu suala hilo ni ushahidi wa wazi kwamba taifa lililishwa sumu ya hatari kuhusu mradi huo. leo hii mitambo ile ile imenunuliwa na Wamarekani...mashabiki wa kashfa hiyo...
  13. Kibanda

    Kibanda kuwa Managing Editor wa New Habari kuanzia Disemba 1, 2012

    Im that much cheap! Nani anilipe kwa makala. Nalipwa fedha za kutosha Tanzania Daima. Natengeneza fedha ya kutosha kwa kazi nazofanya binafsi. I'm proud of myself.
  14. Kibanda

    Kibanda kuwa Managing Editor wa New Habari kuanzia Disemba 1, 2012

    Hahahaa... Hili ndilo tatizo la msingi. Hawa wanasiasa akina Mbowe, Lowassa, Zitto, Jussa, Nape, Rostam na Kinanani marafiki zetu wa kikazi na kiwajibu. Ama ni sources of news and informations au ni clients wetu ambao kwa sababu za kitaaluma tunawapa ushauri wa masuala ya habari na wakati...
  15. Kibanda

    Kibanda kuwa Managing Editor wa New Habari kuanzia Disemba 1, 2012

    Kwa hiyo unataka niendelee kubakia maskini? Hovyo kabisa. Unataka niwe ombaomba? Shule nilikwenda kufanya nini?
Back
Top Bottom