Recent content by KIBADEN

  1. K

    Any information about post advertised by tpdc june 2013?

    How jf members, If there is anyn one with any information on the above title please inform me. I am really curios to know if they have already shortlisted or not. Regards
  2. K

    Prof. Muhongo, Eliakim Maswi na wizi wa bilioni 86 wizara ya Nishati na Madini

    Hiii imekuwa sasa ndo mchezo wa siasa kila mtu kumtuhumu mwezanke, hivi maendeleo yatapatika kweli kwa mtindo huu?
  3. K

    Janga la mshahara mpya kwa walimu.

    Kaka nakupa hongera kwa wazo lako zuri ilka hapo kwenye kumtambua adui inabidi kuwa makini, unaweza ukadhan kuondoa uongozi uliopo na kuleta mpya ndio suluhisho kumbo ndio ukaja ukajuta. Nadhani tunahitaji kubadilisha mfumo
  4. K

    Janga la mshahara mpya kwa walimu.

    Kaka hiyo ndo serikali yetu, kama unaweza tafuta kazi private lakn usidhanie ni kirahisirahisi ivyo. MM mwenyewe niko serikalini lakn cna la kufanya ila kuwa mpole. Kwa ushauri kama unaweza tafuta mkopo uwekeze sehemu bila ivyo mambo yatakuwa magumu cku zote.
  5. K

    Nafasi ya Geologists II TPDC

    Jamani naulizia vp kuhusu nafasi za kazi TPDC zilizotangazwa mwezi wa Juni 2013 majina ya walioitwa kwenye interview yameshatoka au bado? Kama yametoka yanapatikana wapi?
  6. K

    Kuigawa Mbeya: Ushauri wa JF Kuhusu Mlowo

    Kaka JF hata mm nakuunga mkono. Kulingana na maelezo yako ni bora Mbeya ibakie kama ilivyo ila ninacho hofia ni kuwa kuna baadhi ya watu watakuwa wabamaslahi yao binafsi na kama wana nguvu serikalini watatuangusha tu. That's what I am worried about.
Back
Top Bottom