Wakati wa utawala wa Joseph kabila ,wakongomani walipinga sana, kwamba wanatawaliwa na mnyarwanda, kama kuna mtu anakumbukumbu gazeti la mwanahalisi liliwahi kuandika habari ya Joseph kabila wakinukuu gazeti moja la ufaransa kwamba baba yake kabila alikuwa ni mnyarwanda aliyekuwa rafiki wa...
Mbowe kasema maandamamo trh 24, huyu chalamila kasema usafi utafanywa na jeshi trh 23 na 24, haya bwana hao ndio ccm ,wenye kuelewa mchezo ngoja tukae kimya
Huwezi kutengenezadawa ya ukimwi halafu wazungu wakakuacha Salama, kuna habari iliwahi kuripotiwa kwenye mitandao kuhusu mwafrika kutengeneza dawa kwakutumia matunda, lkn kabla hajaisambaza wakalamba kichwa chake, akatokea mwandishi aliyetaka kueleza ukweli kuhusu kifo cha huyo mwamba naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.